engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
wadau
nahitaji nipatiwe elimu kuhusu kutoa mzigo bandari ya DSM
Nina mzigo empty bottles unao elekea bandari ya DSM,tatizo nililo nalo ni kwamba
1,sijui TRA huwa wanatoza sh ngapi kwa mzigo kama huo
2.sijui gharama ya kuclear mzigo pindi utakapo wasili
3.Ni vitu gani muhimu niwe navyo (docoments) ili iniwie rahisi kutoa mzigo
4.ama kama kuna agent anaweza kutoa mzigo huo basi-nivyema aka ni PM ili niweze kuelewa gharama zake
maana kila nikijaribu kuwasiliana na TRA kupitia website yao sms yangu ipo pending
karibuni kwa kunipa maelekezo hayo
nahitaji nipatiwe elimu kuhusu kutoa mzigo bandari ya DSM
Nina mzigo empty bottles unao elekea bandari ya DSM,tatizo nililo nalo ni kwamba
1,sijui TRA huwa wanatoza sh ngapi kwa mzigo kama huo
2.sijui gharama ya kuclear mzigo pindi utakapo wasili
3.Ni vitu gani muhimu niwe navyo (docoments) ili iniwie rahisi kutoa mzigo
4.ama kama kuna agent anaweza kutoa mzigo huo basi-nivyema aka ni PM ili niweze kuelewa gharama zake
maana kila nikijaribu kuwasiliana na TRA kupitia website yao sms yangu ipo pending
karibuni kwa kunipa maelekezo hayo