Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
WanaJF, heshima kwenu.
Naomba msaada namna ya kufungua simu aina ya vodafone 735 ili iweze kutumika na mitandao yote.
Kwa sasa inatumika na vodacom pekee.
Natanguliza shukurani.
Naomba msaada namna ya kufungua simu aina ya vodafone 735 ili iweze kutumika na mitandao yote.
Kwa sasa inatumika na vodacom pekee.
Natanguliza shukurani.