BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Windows Software ya D/Top yangu (Dell) haijakuwa Updated kwa hiyo imeniandikia message kwenye screen chini kulia kuwa 'You may be a Victim of Software Counterfeinting. This Copy of Windows Did Not pass Genuine Windows Validation' na kila mara inafanya screen yangu kuwa black ingawaje naweza kuendelea na kazi zangu nyingine bila wasiwasi na pia Icon zinaendelea kuwepo kwenye screen. Mtaalamu ameniambia kuwa kinachotakiwa ni Ku-Update Windows Software ya Computer yangu na kupata latest. Nikaona niulize hapa JF kusikoshindikana kitu. Natanguliza Shukurani.