Msaada: Kati ya Solar vs Generator kijijini

Mr Adam Gella

JF-Expert Member
Jan 17, 2015
1,327
660
Habari za kazi wakuu
Nitumie Umeme wa Solar au wa Jenereta??

Samahanini naomba ushauri juu ya mada tajwa hapo juu ;

Kama ni SOLAR;
Vipi gharama yake ipoje hadi ufungaji wake

NB; Nahitaji kwa ajili ya matumizi ya kawaida tu kwa chumba kimoja tu!! Kipindi ntakapokua nafanya kazi kijijini mfanomwanga usiku, Radio, Kuchaji vitendea kazi simu, Laptop...

Je ni kweli umeme wa solar huaribu mabetri mfano ya simu na laptop?? Nimekua nasikia hivyo, naomba kufahamishwa zaidi juu ya hilo

GENERETA;
Naomba msaada wenu kufahamu ni Aina ipi nzuri za Majenereta yenye ubora unaokidhi Kuzalisha umeme wa kawaida tu na Bei zake, Ulaji wake wa mafuta...n.k
Nb: Nahitaji yale madogo tu yenye nguvu ITAKAYOFAA KUZALISHA UMEME KWA AJILI YA ROOM MOJA TU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA KAMA MWANGA USIKU,Radio,KUCHAJIA SIMU na LAPTOP pindi nitakapokua kijijini nafanya kazi kwa kipindi hiki.

Kipi kitanifaa SOLAR AU JENERETA??

Natanguliza shukrani zangu kwenu
 
Habari za kazi wakuu...
Nitumie Umeme wa Solar au wa Jenereta??

Samahanini naomba ushauri juu ya mada tajwa hapo juu ;

Kama ni SOLAR;
Vipi gharama yake ipoje hadi ufungaji wake
#Nb ; Nahitaji kwa ajili ya matumizi ya kawaida tu kwa chumba kimoja tu!! kipindi ntakapokua nafanya kazi kijijini mf;mwanga usiku,,Radio,,Kuchaji vitendea kazi simu,,Laptop...

>>Je ni kweli umeme wa solar huaribu mabetri mfano ya simu n laptop??nmekua naskia ivyo...naomba kufahamishwa....zaidi juu ya hilo



GENERETA;
naomba msaada wenu kufahamu ni Aina nzuri za Majenereta yenye ubora unaokidhi Kuzalisha umeme wa kawaida tu na Bei zake...Ulaji wake wa mafuta...n.k
Nb;Nahitaji yale #madogo tu yenye nguvu ITAKAYOFAA KUZALISHA UMEME KWA AJILI YA ROOM MOJA TU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA KAMA MWANGA USIKU,Radio,KUCHAJIA SIMU,,na LAPTOP..pindi nitakapokua kijijini nafanya kazi..
kwa kipindi hichi

>> Kipi kitanifaa SOLAR AU JENERETA??
Natanguliza shukrani zangu kwenu...q

Jeneretor halifai kabisa. Mimi niemefunga Soler watts 200 nakula maisha bila usumbufu. Ikiwa na kila kitu imenigharimu ml 2.4 tu
 
Habari za kazi wakuu...
Nitumie Umeme wa Solar au wa Jenereta??

Samahanini naomba ushauri juu ya mada tajwa hapo juu ;

Kama ni SOLAR;
Vipi gharama yake ipoje hadi ufungaji wake
#Nb ; Nahitaji kwa ajili ya matumizi ya kawaida tu kwa chumba kimoja tu!! kipindi ntakapokua nafanya kazi kijijini mf;mwanga usiku,,Radio,,Kuchaji vitendea kazi simu,,Laptop...

>>Je ni kweli umeme wa solar huaribu mabetri mfano ya simu n laptop??nmekua naskia ivyo...naomba kufahamishwa....zaidi juu ya hilo



GENERETA;
naomba msaada wenu kufahamu ni Aina nzuri za Majenereta yenye ubora unaokidhi Kuzalisha umeme wa kawaida tu na Bei zake...Ulaji wake wa mafuta...n.k
Nb;Nahitaji yale #madogo tu yenye nguvu ITAKAYOFAA KUZALISHA UMEME KWA AJILI YA ROOM MOJA TU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA KAMA MWANGA USIKU,Radio,KUCHAJIA SIMU,,na LAPTOP..pindi nitakapokua kijijini nafanya kazi..
kwa kipindi hichi

>> Kipi kitanifaa SOLAR AU JENERETA??
Natanguliza shukrani zangu kwenu...q

Yafuatayo yananifanya niione solar system ni nzuri kuitumia kijijini kuliko diesel/petrol geneset

1. Gharama
Gharama ya mwanzo ya solar ni kubwa kidogo ukiilinganisha na gharama ya petrol/diesel generator. Lakini ukija kwenye running cost
- Solar syatem has almost zero running cost, hununui chochote kuifanya ifanye iendeleem kufanya kazi, wakati diesel/petrol genset utahitajika kununua mafuta kila baada ya muda Fulani kutegemeana na matumizi
- Utahitajika kufanya serice kila baada ya masaa 250 ya kutembea kwenye genset, wakati solar utakuwa unafuta vumbi tu
- Utatakiwa uwe na mtu wa kuliwasha mwenye uzoefu kila unapohitaji kuliwasha. Hiyo itakuongezea gharama za uendeshaji.
- Kitendo cha kuwa na ‘moving parts’ kwenye genset, unaongeza uwezekano wa mashine kuharibika
- Utunzaji wa mafuta hasa petrol nayo ni shughuri nyingine. Utahitaji uweke sehemu ya mbali na vyanzo vya moto. Hapa tunafahamu mazingira ya majumba yetu.. MOTO NJE NJE
-
2. Uchafuzi wa mazingira
Hapa nazumgumzia makelele, moshi na uvujaji ma mafuta. Eneo linaloizunguka genset litakuwa na hali ya mafuta mafuta kwa hiyo uchafu utakuwa hapo.. Makele pindi uwashapo genset lako nalo ni tatizo. Moshi unaotokana na ufanyaji kazi wa genset nalo ni jambo jingine linalifanya solar system iwe bora kuitumia kwenye mazingira hayo kuliko genset

3. Matengenezo
Mafunsi wa kutengeneza genset ni ishu ukilinganisha na solar system. Halafu kwenye solar nio rahisi ku-bypass sehemu Fulani kuliko jenereta ili uendelee kupata umeme pindi kuharibika kukitokea.

Pindi litakapoharibika, genset zima litashindwa kuwaka na kukukosesha umeme, lakini kwa solar system, kuharibika kwa sehemu moja kutapunguza tu uwezo wa solar kuhudumia vifaa vyote kwa wakati mmoja. Ingawa ina sehemu chache zenye kuifanya system nzima ishindwe kufanya kazi pindi zinapoharibi. Lakini kwa genset risk ni kubwa
 
ni vema ununue solar maana hata kupunguza garama .Solar zipo za watt tofautitofauti mfano 15w inaweza kuchukua had 150000. Pamoja na kufungiwa kuhusu betr c kweli kweli
 
Habari za kazi wakuu...
Nitumie Umeme wa Solar au wa Jenereta??

Samahanini naomba ushauri juu ya mada tajwa hapo juu ;

Kama ni SOLAR;
Vipi gharama yake ipoje hadi ufungaji wake
#Nb ; Nahitaji kwa ajili ya matumizi ya kawaida tu kwa chumba kimoja tu!! kipindi ntakapokua nafanya kazi kijijini mf;mwanga usiku,,Radio,,Kuchaji vitendea kazi simu,,Laptop...

>>Je ni kweli umeme wa solar huaribu mabetri mfano ya simu n laptop??nmekua naskia ivyo...naomba kufahamishwa....zaidi juu ya hilo



GENERETA;
naomba msaada wenu kufahamu ni Aina nzuri za Majenereta yenye ubora unaokidhi Kuzalisha umeme wa kawaida tu na Bei zake...Ulaji wake wa mafuta...n.k
Nb;Nahitaji yale #madogo tu yenye nguvu ITAKAYOFAA KUZALISHA UMEME KWA AJILI YA ROOM MOJA TU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA KAMA MWANGA USIKU,Radio,KUCHAJIA SIMU,,na LAPTOP..pindi nitakapokua kijijini nafanya kazi..
kwa kipindi hichi

>> Kipi kitanifaa SOLAR AU JENERETA??
Natanguliza shukrani zangu kwenu...q

Kiongozi njoo hapa shekilango kwenye majengo ya business park hapa @chlorideexide utapata ushauri wa bure kabisa kuna kwa maelezo zaidi piga 0788859535
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom