nimechoka kupata pesa za majungu kutoka loan board coz pesa zenyewe haziji kwa wakati maisha yanakuwa magumu....baada ya kupima vyote sasa sitaki mkopo tena na nataka kujitoa....naomba mnisaidie maelekezo
nimechoka kupata pesa za majungu kutoka loan board coz pesa zenyewe haziji kwa wakati maisha yanakuwa magumu....baada ya kupima vyote sasa sitaki mkopo tena na nataka kujitoa....naomba mnisaidie maelekezo