Omwami Nshomile
Senior Member
- Jan 26, 2015
- 132
- 28
Shikamoo wakubwa, hamjambo vijana?
Mimi nilifiwa na kaka yangu mwanajeshi tangu mwaka juzi, alikuaa akifanya kazi JKT Tabora. Baaada ya msiba tulipewa namba ya afsa mmoja wa jeshi hili ndio atatuelekeza jinsi ya kupata mirathi pamoja na pesa ziliko Benki kwenye account ya marehemu.
Sasa yule afsa amegoma kutusaidia kwani tukipiga simu hapokei. Naomba msaada na maelekezo jinsi ya kushughulikia jambo hili.
Natanguliza shukulani zangu.
Mimi nilifiwa na kaka yangu mwanajeshi tangu mwaka juzi, alikuaa akifanya kazi JKT Tabora. Baaada ya msiba tulipewa namba ya afsa mmoja wa jeshi hili ndio atatuelekeza jinsi ya kupata mirathi pamoja na pesa ziliko Benki kwenye account ya marehemu.
Sasa yule afsa amegoma kutusaidia kwani tukipiga simu hapokei. Naomba msaada na maelekezo jinsi ya kushughulikia jambo hili.
Natanguliza shukulani zangu.