ndechilio shoo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 998
- 363
Kweli tuliosoma seminary tumegain vitu vingi sana,kuandika barua yenye Anuani mbili nilifundishwa form 1. U .F.S
Kweli tuliosoma seminary tumegain vitu vingi sana,kuandika barua yenye Anuani mbili nilifundishwa form 1. U .F.S
Asante mkuu!. naona nyote mnaelekea kwenye wazo moja. nitafanya hivi.
Usijifanye kujuwajuwa wakati hujui kitu. hata wanaoomba viza za Marekani na Uingereza fomu wanajaziwa wakati wanao uwezo wa kujaza wenyewe.
Alichouliza kina msingi na hajakuomba wewe ndio umuandikie barua.
Kweli tuliosoma seminary tumegain vitu vingi sana,kuandika barua yenye Anuani mbili nilifundishwa form 1. U .F.S
Achana nae huyo! mpuuzi ........... binamu mzima ww?Usijifanye kujuwajuwa wakati hujui kitu. hata wanaoomba viza za Marekani na Uingereza fomu wanajaziwa wakati wanao uwezo wa kujaza wenyewe.
Alichouliza kina msingi na hajakuomba wewe ndio umuandikie barua.
Sifa za kijinga hizi
Kumbuka ukiandika U.F.S au K.K kwa kiswahili, barua hiyo kabla haijafungwa inatakiwa uipeleke kwa huyo uliye mu U.F.S aipitishwe ndio uifunge na kuituma inakotakiwa. Ni angalizo tu nimekupa.
Ninakualika dinner yaani imenifurahishaje leo??
Achana nae huyo! mpuuzi ........... binamu mzima ww?
Mashkhofu niko poa kabisa, hawahawa wanaoleta mbwembwe hapa ndio kila siku wanaisumbuwa serikali kubuni madaraja upya ili mradi wafaulishwe kilazima lakini wakija hapa ujuwaji mwingi.
Naomba kujuzwa jinsi ya kuandika barua ya kikazi inayopitia kwa watu wawili, mfano unataka kuandika barua iende kwa Managing Director lakini ipitie kwa Human Resources Officer
Nimeuliza watu tofauti tofauti kila mtu amenipa jibu lake hata sielewi ni lipi lipo sahihi.
mwingine kaniambia unaandika hivi
MANAGING DIRECTOR
T.I.B BANK
P.O.BOX 1207
DAR ES SALAAM
Cc. HUMAN RESOURCES OFFICER
T.I.B BANK
P.O.BOX 1207
DAR ES SALAAM
Dear sir/madam
REF: APPLICATION FOR.........
Na mwingine kaniambia yule barua inayopitia kwake jina lake linakua mwishoni, baada ya saini yako.
Mfano:
Yours Sincerely
GossipGirl
G.p.g
Cc. James R. Mahiri(Human Resources Officer)
NOTE: Nahitaji barua ipitie kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na siyo barua kwenda kwa wote wawili.
Barua tu inakushinda kuiandika je huo usaili utaweza ww??
Wenye akili timamu tumekuelewa achana na vitimbakwiri.kuomba ushaur sio kwamba kila kitu sikijui; kunauwezekano najua vitu vingi kuliko hata ww, na hii ni faida pia kw watu wasiojua. halafu acha kukariri siyo kila anaetafuta kazi hana kazi.
Ahahah ww matoka ndo hamna kitu kabisa sasa kujaza form na uandishi wa barua vina uhusiano gan eti.. Hivi kuna taasisi inafundisha jinsi ya kujaza taarifa za visa? lakini barua inafundishwa tangu primary hadi higher instit.... Si lazima kukosoa kila jambo.. Haya lala ukue tehhhhhhhhh