Msaada: Jinsi ya ku-upload pics kwenye post za Jf.

Mawaiba

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
417
150
Habari za weekend wakuu. Naomba maelekezo toka kwenu wana-JF. Natumia mobile phone, Nokia 2730, ambayo ina built-in browser; Opera Mini. In addition ninayo version nyingine inayoitwa Opera Mini Next. Naomba kama kuna anayejua jinsi ya ku-upload image files kwenye posts zetu tunazozirusha hapa janvini kupitia devices kama hii yangu anipe maelekezo. Thanks in advance, nice day 4 u..!​
 
Si unaclick attach then unaselect picha yenyewe kisha una submit.
Thank you. Nilidhani option hii ingekuja na file kama attachment. Nashukuru sana mkuu. Na inakuwaje kama nataka ku-insert image directly kwenye post?, i.e. I mean hiyo image ionekane moja kwa moja kwenye post bila kufungua attachment?, kama wanavyo fanya kwenye jamii photo?
 
hatimaye tumekutana tena hapa,hebu nifundishe king,maana huwa zinakataa ati,nafata those steps nikiwa na mobile yangu
Poa sana mkuu, nashukuru kwamba tuko pa1. Hebu tupeni mwongozo wakuu..
 
Poa sana mkuu, nashukuru kwamba tuko pa1. Hebu tupeni mwongozo wakuu..

mimi kila napojaribu huwa inakataa,,,na hii pia imekataa,,,sijui tatizo nini,nikishaclick UPLOAD,then inanambia close window,napoclose hunambia
'BAJABIRI U DON HAVE PERMISSION TO ACCESS,sijui nini na nii,aaaargh
 
mimi kila napojaribu huwa inakataa,,,na hii pia imekataa,,,sijui tatizo nini,nikishaclick UPLOAD,then inanambia close window,napoclose hunambia
'BAJABIRI U DON HAVE PERMISSION TO ACCESS,sijui nini na nii,aaaargh
Ngoja tuwaachie wataalamu watupe vitu. Wakuu your assistance please...
 
Hebu Jaribuni ku-upload picha kwa kubonyeza pale kwenye attachment halafu tafuta Picha kwenye simu yako then Upload, ikishamaliza usi-close window. We bonyeza BACK mpaka Pale SUBMIT halafu u-click hiyo SUBMIT.. JARIBU HII PLEASE IT WORKS

MTANDAO HUKU UNASUMBUA SIJUI LEO KUNA NINI
 
Mimi hiyo icon ya attachment inaonekana tu kwenye kureply na haionekani ninapopost post yangu mwenyewe. Hapo inakuaje?
 
ku upload kutoka kwenye cm,ts pocble ila kuiweka pic hapo ni shughuli maana inabdi udrag hiyo pic kwenye timeline sasa kwenye 4ne cidhan kama hicho ki2 kinawezekana,but pic za mtandaoni mzka sana 2 kama hivi. Any1 interested?
all_around_good_guy_tshirt-p235404086647393317yyae_400.jpg
 
Hebu Jaribuni ku-upload picha kwa kubonyeza pale kwenye attachment halafu tafuta Picha kwenye simu yako then Upload, ikishamaliza usi-close window. We bonyeza BACK mpaka Pale SUBMIT halafu u-click hiyo SUBMIT.. JARIBU HII PLEASE IT WORKS

asante mdau kwa darasa HURU KUPITIA JUKWAA HUTIA
 
ku upload kutoka kwenye cm,ts pocble ila kuiweka pic hapo ni shughuli maana inabdi udrag hiyo pic kwenye timeline sasa kwenye 4ne cidhan kama hicho ki2 kinawezekana,but pic za mtandaoni mzka sana 2 kama hivi. Any1 interested?
all_around_good_guy_tshirt-p235404086647393317yyae_400.jpg

so ku-upload from my fone haiwezekani?????[b/]
 
so ku-upload from my fone haiwezekani?????[b/]


ku upload waweza(ukiclick kwenye attachment pale) but kuiweka sasa kwenye uzi ndo haiwezekan kwa cm(not dat i know of anyway). But unachoweza kufanya kwenye cm ni kupost pic zilizo mtandaon kwa ku2mia code kama nlivofanya hiyo pic hapo juu
 
OKAY GUYS.
JF hapo chini kwenye kupost Hawajaweka Option ya Attachment

NJIA RAHISI NI HII.
Tafuta Post ya Mtu yeyote hapa halafu Reply. Ukisha-reply futa zile reply code zake na Maandishi . Mfano

[QUOTE =Bajabiri;3980740]nami huko huko ndo kunantatiza [/QUOTE]

Futa zote hizo halafu weka maneno yako.. Ukishamaliza fuata maelezo niliyotoa hapo juu
 
Back
Top Bottom