Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Je unaweza kuandika barua ya kutengua kuacha kazi/kujiuzulu kuna rafiki yangu alipata ajira serikalini mwaka huu kwa iyo akaamua kuacha kazi private na kwenda serikalini sasa anasema ajira yake imesimamishwa je anaweza kurudi tena private kwa kuandika barua ya kutengua kuacha kazi ushauri please