Bibi Kizee
JF-Expert Member
- Feb 18, 2008
- 211
- 9
- Thread starter
- #21
Huyo jamaa si fisadi kama wengi wanavyojaribu kusuggest. Wamekuwa na mahusiano ya karibu na huyo dada kwa miaka takriban 14. Amekuwa persistently anaamini huyo dada ndio chaguo lake pamoja na kwamba yeye keshaoa na huyo dada keshaolewa. Amekuwa anajitahidi kujiweka karibu na huyo dada pamoja ukweli wote kuhusu marital status yake na ya huyo dada.
Kama angelikuwa fisadi (i.e. anataka kumwonja tu huyo dada!), kwa hakika asingeweza kufuatilia kwa muda wote huu (14 yrs!).
Huyo jamaa ni mgonjwa. Ana tatizo kubwa la kisaikolojia linamsumbua. Huyo dada ajaribu kumshawishi huyo kaka kuonana na mshauri nasaha. Hili litamsaidia sana huyo 'rafiki yake' kuondokana na tatizo hilo na pia kupunguza usumbufu unaompata huyo dada. Lakini pia huyo dada ilitakiwa amshirikishe mumewe tangu mwanzo. Kwa sasa atabidi awe extra careful kama anataka kumshirikisha mumewe.
asante ila sasa mambo yanakuwa magumu, mtoa ushauri naanza kuogopa sikuwa na hilo wazo kabisaaaa, sasa MGONJWA atatuelewa tukimwambia awaone washauri nasaha!!! si anaweza kutuambia sisi ndio wagonjwa maana hapa yanakuja yale ya boss kuambiwa ana minyoo!!
asante nitajitahidi kufikiria jinsi ya kufikisha ujumbe kwa shoga naendelea kupokea ushauri nijue nini haswa nikamshauri!!