Msaada huawei Y550 L02 imegoma kuwaka baada ya kufanya rooting

Akagando

JF-Expert Member
May 24, 2012
533
116
Wakuu kuna simu yangu imegoma kuwaka baada ya kufanya rooting,ikiwaka aifanyi chochote. niliiroot kwakutumia kingroot,baada ya kuroot nikadownload ifont na kuinstall baada ya kuinstall nakajaribu kutafuta font niipendayo ikaniambia ni reboot ili kubadilisha system font nikaruhusu iriboot baada ya kureboot ikabaki kwenye kuandika Adroid bila kuendeleza chochote. Natumaini kupata msaada kutoka kwenu. msaada jamani
 
Wakuu kuna simu yangu imegoma kuwaka baada ya kufanya rooting,ikiwaka aifanyi chochote. niliiroot kwakutumia kingroot,baada ya kuroot nikadownload ifont na kuinstall baada ya kuinstall nakajaribu kutafuta font niipendayo ikaniambia ni reboot ili kubadilisha system font nikaruhusu iriboot baada ya kureboot ikabaki kwenye kuandika Adroid bila kuendeleza chochote. Natumaini kupata msaada kutoka kwenu. msaada jamani
1. Download firmware ya Y550-L02 hapa
http://download-c.huawei.com/download/downloadCenter?downloadId=41124&version=74145&siteCode=nz
 
churaxzbt8 Mkuu nimejaribu kuinstall kwa kutumia Sd card inagoma kinachotokea ni hiki
Android system recovery
Y 550-L02V100R001C346B249
Finding update package...
opening update package...
verifying update package...
fomatting/cache
..
installation aborted.



tatizo picha zinagoma,natumia simu sina pc
 
churaxzbt8 Mkuu nimejaribu kuinstall kwa kutumia Sd card inagoma kinachotokea ni hiki
Android system recovery
Y 550-L02V100R001C346B249
Finding update package...
opening update package...
verifying update package...
fomatting/cache
..
installation aborted.



tatizo picha zinagoma,natumia simu sina pc
ok! Size ya hiyo package ngapi?
 
churaxzbt8 Mkuu nimejaribu kuinstall kwa kutumia Sd card inagoma kinachotokea ni hiki
Android system recovery
Y 550-L02V100R001C346B249
Finding update package...
opening update package...
verifying update package...
fomatting/cache
..
installation aborted.



tatizo picha zinagoma,natumia simu sina pc
Kabla hujaweka hilo file kwenye memory card li unzip kwanza kwenye Computer then ukilifungua utaona file limeandikwa UPDATE APP,sasa tengeneza folder lenye jina la "dload" kisha transfer file ya UPDATE APP kwenye hlo folder la dload..hamisha folder la dload kwenye memory card then chomeka kwenye simu,wakat simu ipo off bonyeza volume down key,volume up key na power key vyote kwa pamoja itaanza ku update,all the best.
 
Nimejaribu ku_update ika_reboot ila ikianza kuinstall inazima tatizo nini wakuu
 
Peleka kwa fundi aka flash 10,000 tu.Mimi yangu Sony experia Z4.kuna mpuuzi nilimpa anichajie akataka kutoa pattern kwa kubonyeza button kwa wakati mmoja.akaniharibia.nikapeleka kwa fundi akaflash.sasa fresh tu.
 
Peleka kwa fundi aka flash 10,000 tu.Mimi yangu Sony experia Z4.kuna mpuuzi nilimpa anichajie akataka kutoa pattern kwa kubonyeza button kwa wakati mmoja.akaniharibia.nikapeleka kwa fundi akaflash.sasa fresh tu.
Shukrani mkuu nitajaribu kufanya hivyo.
 
Peleka kwa fundi aka flash 10,000 tu.Mimi yangu Sony experia Z4.kuna mpuuzi nilimpa anichajie akataka kutoa pattern kwa kubonyeza button kwa wakati mmoja.akaniharibia.nikapeleka kwa fundi akaflash.sasa fresh tu.
Kiongozi kwa ishu ya huyu mdau anachoelekezwa kufanya hapo ndiyo kuflash ila wewe hawakukuflashia, wali-hard reset. Kwahiyo kesi zenu ni mbili tofauti.
 
Kiongozi kwa ishu ya huyu mdau anachoelekezwa kufanya hapo ndiyo kuflash ila wewe hawakukuflashia, wali-hard reset. Kwahiyo kesi zenu ni mbili tofauti.
Kwahiyo Mkuu siwezi kwenda flash
 
Nime_Extract file la update.app limekuw na 1.3 Gb
Naisi unatumia file ambalo sio. Tafuta file la Update.zip ndio tumia hilo. Wipe cache kwa kwanza kabla ya ku-update.===
Fuata hatua hizi

1.weeka file hilo La update.zip kwenye root path ya memory card yako.
2.Bonyeza Power+volume up kwa pamoja
3.Recovery iki_run , wipe cache partition
4. Kisha, apply update from sdcard
Changua file la update.zip , kisha changua ok
 
tayari mkuu mbona najaribu ku update inagoma inaandika error
CHANGAMOTO UTAKAYO IPATA HAPO NI KUPATA THE RIGHT FILE FOR UPDATE ILITAKIWA KABLA YA KU ROOT UNGELI ANGALIA FILE VERSION HALAFU UKA UPDATE WITH HIGHER VERSION FILE KINGINE NI JINSI YA KU UPDATE FANYA HIVI BONYEZA POWER BUTTON PAMOJA NA VOLUME DOWN VOLUME UP ANGALIZO IKIANZA KU DISPLAY ACHIA POWER ENDELEA KUBONYEZA VOLUME DOWN NA UP HADI IANZE KU UPDATE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom