tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,369
- 19,199
Mkuu kwani nawe ni mmoja wa watu wanaogegeda kwa kutumia kondom? Nakushangaa sana I see!Hivi mtu anayetumia kondomu anatofauti gani na mtu anayepiga punyeto
Mkuu kwani nawe ni mmoja wa watu wanaogegeda kwa kutumia kondom? Nakushangaa sana I see!Hivi mtu anayetumia kondomu anatofauti gani na mtu anayepiga punyeto
Duh, namna hii ndomana hadi leo BASHITE achukuliw hatua..Hivi mtu anayetumia kondomu anatofauti gani na mtu anayepiga punyeto
Hahaaasounds truth bruHivi mtu anayetumia kondomu anatofauti gani na mtu anayepiga punyeto
Kwa mara ya kwanza uzi wa kwenye jukwaa la jf doctor naufuatilia komenti kwa komenti.
Umbea hauna posho.
Anauliza kuhusu hyo PEP?hata mm ningependa kupata shule kidogo
Daah! hii stori yako,imefanya nibadili playlist yangu kuwa nyimbo za dini kwa muda huu,aisee itabid nijipange kupima,poleee sana.
Wanawake wana huruma sana. Hawataki kuambukiza kwa makusudi tofauti na wanaume.Mkuu mm kuna mmoja nilipiga sanaa ila alikuwa hataki bila ndom, sasa nikajifanya mjanja nikachomoa ndom katikati ya gem, alivojua alinisukuma, sikuona ndani tena sikujua kwann nikafikiri labda alikuwa anaogopa mimba, kumbe alikuwa nao na alijijua.. ni marehem kwa sasa hiyo ilikuwa 2006.. alikufa 2009, mm kupima ilikuwa mziki.. siku ya kwanza nikaenda magomen zahanat pale nikaishia getini nikarud. Mara ya pili niaenda Amref nikasema potelea mbali. Nikapima.. kuanzia hapo hakuna demu nagegeda bila kupima..
Kwasababu tunafahamu uchungu wa mwana.Wanawake wana huruma sana. Hawataki kuambukiza kwa makusudi tofauti na wanaume.
Ni kweli. Ila siyo wote. Kuna mama mmoja ameathirika toka 2003. Sasa akampata kijana mmoja akampa mgegedo bila hata kondomu. Jamaa toka 2003 anapiga mgegedo tu mpaka mwaka Jana 2016 mwezi wa saba alipokuja kuona kadi yake ya CTC na kopo mbili za TLE. Dah! Jamaa alipandwa na pressure Kali sana gafla sana. Nilimtuliza na kumpa ushauri maana alikuwa karibu yangu sana. Nilimshauri akapime ili ajue status yake. Jamaa hakukubali. Basi akaniambia nimtafutie kipimo akajipime mwenyewe. Kuna siku nikiwa ofisini nikakaimu majukumu ya boss na BAHATI nzuri kwenye drop ya meza yake niliona kipimo cha unigold. Faster nikakichukua japo hapakuwa na buffer. Nikampelekea akatumia maji safi kama buffer. Jamaa akajiona yupo fiti na alipoona yuko fiti ikabidi arudi sasa hospital kupima upya na akaconfirm yupo OK. Mpaka sasa hataki michepuko ya kila aina.Kwasababu tunafahamu uchungu wa mwana.
Mkuu miaka ya 90 kuna kijana jirani yetu alipata ajira Breweries Dar, haikuchukua muda akahamishiwa Breweries ya Mwanza. Kijana wa kama 24 hivi ndiyo kwanza ametoka chuo, alikutana na mama mteja maarufu wa pale breweries, yule mama alikuwa na migahawa pamoja na nyumba za kulala wageni, alimpenda kijana akamvutia kwake. Kumbe mama ni muathirika. Yule kijana sita sahau amerudishwa hoi unahesabu mbavu wakati ule hata ARV hakuna.Ni kweli. Ila siyo wote. Kuna mama mmoja ameathirika toka 2003. Sasa akampata kijana mmoja akampa mgegedo bila hata kondomu. Jamaa toka 2003 anapiga mgegedo tu mpaka mwaka Jana 2016 mwezi wa saba alipokuja kuona kadi yake ya CTC na kopo mbili za TLE. Dah! Jamaa alipandwa na pressure Kali sana gafla sana. Nilimtuliza na kumpa ushauri maana alikuwa karibu yangu sana. Nilimshauri akapime ili ajue status yake. Jamaa hakukubali. Basi akaniambia nimtafutie kipimo akajipime mwenyewe. Kuna siku nikiwa ofisini nikakaimu majukumu ya boss na BAHATI nzuri kwenye drop ya meza yake niliona kipimo cha unigold. Faster nikakichukua japo hapakuwa na buffer. Nikampelekea akatumia maji safi kama buffer. Jamaa akajiona yupo fiti na alipoona yuko fiti ikabidi arudi sasa hospital kupima upya na akaconfirm yupo OK. Mpaka sasa hataki michepuko ya kila aina.
Ni Kweli Wapo miongoni mwao wenye mioyo ya huruma Kama ilivyo asili yao. Ila sio wote wenye kutenda kwa Huruma, Mwanamke akiwa hana huruma anakuwa hana huruma kweli kweli. Usiombe ukutwe na wa aina hiyo, alafu akawa anakula koni, yaani anaweza kuijeruhi dushe makusudi tena kwa mbinu za kihalifu haswa. (Mara nyingi japo sio zote wa hivyo huwa na chanzo Fulani kilichowasukuma kuwa na mioyo hiyo).Wanawake wana huruma sana. Hawataki kuambukiza kwa makusudi tofauti na wanaume.
unachekesha kama mazuri hiviUnaweza kusahau jinsia yako ghafla mkuu.
Dah! Nachowapendea wanawake katika janga hili ni kwamba wanauthubutu. Wepesi wa kujikubali. Wanajiheshimu. Ni tofauti na wanawaume. Mwanaume akijigundua ameathirika ndo kwanza anafungua milango ya kuusambaza kwa nguvu zote. Kuna kijana mmoja mmakamo ya miaka 25 ni bobadboda. Jamaa kaathirika na anavibadilisha kweli vibinti vya secondary na mama ntilie. Na inasemekana kwa wale ambao wamemgundua kuwa anawasokomezea tu bila hata kinga.Mkuu miaka ya 90 kuna kijana jirani yetu alipata ajira Breweries Dar, haikuchukua muda akahamishiwa Breweries ya Mwanza. Kijana wa kama 24 hivi ndiyo kwanza ametoka chuo, alikutana na mama mteja maarufu wa pale breweries, yule mama alikuwa na migahawa pamoja na nyumba za kulala wageni, alimpenda kijana akamvutia kwake. Kumbe mama ni muathirika. Yule kijana sita sahau amerudishwa hoi unahesabu mbavu wakati ule hata ARV hakuna.
daaahHuyu jamaa nafikili anashusha kichapo cha maana kwa Sasa na majuto juuu
mkuu ile shock unaweza kupewa form unaulizwa wa kiume/kike ukaanza kufikiria kwanza.unachekesha kama mazuri hivi
Naafiki huo ukweli Mkuu, ipo mifano mingi yenye kuthibitisha ukweli huo. Katika hili la UKIMWI wenzetu wa jinsi ya kike wanaujasiri mkubwa wa ku move on na maisha tena kwa utulivu kuliko sisi.Dah! Nachowapendea wanawake katika janga hili ni kwamba wanauthubutu. Wepesi wa kujikubali. Wanajiheshimu. Ni tofauti na wanawaume. Mwanaume akijigundua ameathirika ndo kwanza anafungua milango ya kuusambaza kwa nguvu zote. Kuna kijana mmoja mmakamo ya miaka 25 ni bobadboda. Jamaa kaathirika na anavibadilisha kweli vibinti vya secondary na mama ntilie. Na inasemekana kwa wale ambao wamemgundua kuwa anawasokomezea tu bila hata kinga.
Badala ya kuachana na ngono zbe basi wanaume huendekeze ngono bila hofu ya kupata other sorts of HIV.
Kikubwa ni kuendelea kutoa elimu kwa clients ili waendelee kufuata misingi ya afya bora
Tuna kauli mbiyu kuwa "usilopenda kutendewa usimtendee mwenzio"
Hatari sanamkuu ile shock unaweza kupewa form unaulizwa wa kiume/kike ukaanza kufikiria kwanza.
Mkuu nilifanya nao kazi kama sehemu ya field work yangu miezi mitatu lakini nilipata experience kubwa sana. Ninakumbuka mama mmoja kwa maelezo ya wafanya kazi alihudhuria clinic kwa miaka 20 baada ya mume wake kufariki kwa ugonjwa. Asili yake ni Malawi, baada ya umri kusonga familia yake ilimshauri arudi nyumbani, amefika kule wakamshauri aokoke na kumtegemea Mungu, baada ya muda nikiwa pale habari zilifika alifariki baada ya kuacha kutumia ARV's.Dah! Nachowapendea wanawake katika janga hili ni kwamba wanauthubutu. Wepesi wa kujikubali. Wanajiheshimu. Ni tofauti na wanawaume. Mwanaume akijigundua ameathirika ndo kwanza anafungua milango ya kuusambaza kwa nguvu zote. Kuna kijana mmoja mmakamo ya miaka 25 ni bobadboda. Jamaa kaathirika na anavibadilisha kweli vibinti vya secondary na mama ntilie. Na inasemekana kwa wale ambao wamemgundua kuwa anawasokomezea tu bila hata kinga.
Badala ya kuachana na ngono zbe basi wanaume huendekeze ngono bila hofu ya kupata other sorts of HIV.
Kikubwa ni kuendelea kutoa elimu kwa clients ili waendelee kufuata misingi ya afya bora
Tuna kauli mbiyu kuwa "usilopenda kutendewa usimtendee mwenzio"
Nikweli mno Swahiba Sky Eclat Kiujumla UKIMWI ni ugonjwa tunaouogopa Sana pengine kutokana na ukweli kwamba hauna tiba, ila kuna mifano mingi mingi mno ya watu walioupata na wameishi zaidi ya miaka 15/20. Jambo la muhimu ni kujua Hali yako ya kiafya jambo ambalo ndio mtihani mkubwa tunaohofia.Mkuu nilifanya nao kazi kama sehemu ya field work yangu miezi mitatu lakini nilipata experience kubwa sana. Ninakumbuka mama mmoja kwa maelezo ya wafanya kazi alihudhuria clinic kwa miaka 20 baada ya mume wake kufariki kwa ugonjwa. Asili yake ni Malawi, baada ya umri kusonga familia yake ilimshauri arudi nyumbani, amefika kule wakamshauri aokoke na kumtegemea Mungu, baada ya muda nikiwa pale habari zilifika alifariki baada ya kuacha kutumia ARV's.