Msaada: Gari linapata moto sana na kuzima

Y2k

Member
Apr 21, 2012
77
26
Habari wapendwa .jamani nimekuja uku kucheki wataalamu wanasemaje kulingana na shida niliyonayo. Gari langu linapata heat sana na kuzima yani ukitembea kidogo linapata heat na kuzima. Je tatizo linaweza kuwa nini ? Majibu ni kwa wale wenye uhelewa wa tatizo hilitu
 
Habari wapendwa .jamani nimekuja uku kucheki wataalamu wanasemaje kulingana na shida niliyonayo. Gari langu linapata heat sana na kuzima yani ukitembea kidogo linapata heat na kuzima. Je tatizo linaweza kuwa nini ? Majibu ni kwa wale wenye uhelewa wa tatizo hilitu
Cooling system
1.radiator
2.thermostat
3.fan
4.coolant

Kimoja wapo hapo kikifa/kisipofanyakazi vizuri gari itachemsha na ndio inazima nyingine haiimiki utaikaanga. Ukiendelea kutumia hivyo utaunguza cylinder head gasket na baadae cylinder head yenyewe kupinda.

Cylinder head gasket/head ikipinda hata ufanye nini gari itachemsha tu mpaka inyoonshwe au ununue ingine mpya.
 
Oooh naona mada inanihusu..mimi nina escudo huwa naitumia ikitembea muda mrefu inaheat na kuzima hasa nikiwa nimesimama ktk foleni. Wataalamu waelezee na hili langu pia.
 
Cooling system
1.radiator
2.thermostat
3.fan
4.coolant

Kimoja wapo hapo kikifa/kisipofanyakazi vizuri gari itachemsha na ndio inazima nyingine haiimiki utaikaanga. Ukiendelea kutumia hivyo utaunguza cylinder head gasket na baadae cylinder head yenyewe kupinda.

Cylinder head gasket/head ikipinda hata ufanye nini gari itachemsha tu mpaka inyoonshwe au ununue ingine mpya.

Asante kaka mana nimempelekea fundi akasema anaanza kucheki kama kuna licage then acheki cylinder gasket kama ikopoa
 
Back
Top Bottom