Msaada: Fundi simu wa jadi tafadhali!!

Ze burner

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
514
83
Ndugu wana JF. Habari za Leo
Hii ni mara ya pili kwa upande wangu kutumia simu na kupokea kauli za kutatanisha kutoka kwa mafundi.
Mwanzoni nilikuwa na na nokia n 95 ambayo katika mazingira ya kutatanisha ilizima ghafla na nilipopeleka kwa fundi nikaambia tatizo halionekani hivyo ilishindkana kuwashwa nikaipotezea.

Hivi juzijuzi nikiwa katika dala dala na simu aina ya lg 50w nilihisi umoto mkali simu inaunguza. nikaitoa betri na baadaye kuiweka tena. the samething happened. hivyo niliamua kuipeleka kwa doctor wa simu naye alinieleza kuwa simu yangu ina shoti kwa mujibu wa vipimo. fundi alijaribu alivyoweza ila ikashindikana kuondoa shoti hiyo bado ninayo.

sasa najiuliza kama ingekuwa binaadamu tungempeleka kwa mganga wa kienyeji. Hivi inawezekana simu kurogwa??? jee waganga wa kienyeji wanaweza kuiangaza simu kujua ina matatizo gani. Those experienced the same please help!!!
 
Inawezekana uwezo wafundi umefika mwisho.ninachofahamu simu inapopatwa na dhoruba la short circuit mala nyingi hutokea ama ktk cpu,power ic au katika mfumo wa charging.kwa tatizo lako kama lipo ktk cpu afu ukute hiyo cpu iliwekewa na gundi flani hivi kuizunguka cpu basi kupona huwa ni risk sana.
 
nimezoea kumita dogo ila we mwambie nilikuona dukani kwa tameem mita ya msikiti wa mtambani kinondoni ata kuelewa
 
Ndugu wana JF. Habari za Leo<br />
Hii ni mara ya pili kwa upande wangu kutumia simu na kupokea kauli za kutatanisha kutoka kwa mafundi.<br />
Mwanzoni nilikuwa na na nokia n 95 ambayo katika mazingira ya kutatanisha ilizima ghafla na nilipopeleka kwa fundi nikaambia <font color="#ff0000">tatizo halionekani </font>hivyo ilishindkana kuwashwa nikaipotezea.<br />
<br />
Hivi juzijuzi nikiwa katika dala dala na simu aina ya lg 50w nilihisi umoto mkali simu inaunguza. nikaitoa betri na baadaye kuiweka tena. the samething happened. hivyo niliamua kuipeleka kwa doctor wa simu naye alinieleza kuwa simu yangu ina <font color="#ff0000">shoti</font> kwa mujibu wa vipimo. fundi alijaribu alivyoweza ila ikashindikana kuondoa shoti hiyo bado ninayo. <br />
<br />
sasa najiuliza kama ingekuwa binaadamu tungempeleka kwa mganga wa kienyeji. Hivi inawezekana simu kurogwa??? jee waganga wa kienyeji wanaweza kuiangaza simu kujua ina matatizo gani. Those experienced the same please help!!!
<br />
<br />
PAW atakusaidia shida yako.
 
Back
Top Bottom