Bosi wangu mmoja hivi majuzi alipokea email ikimwambia kuwa kutokana na marekebisho anuai yanayofanywa kwenye account za yahoo katika kuboresha huduma, wanamtaka atoe password yake ili asije akapoteza data za kwenye account yake.
Bila kufikiria sana akatuma passord hiyo, walichokifanya hao jamaa ni kubadiri password na information zote za account ambazo zingemsaidia kuretreive account yake, kisha wakaanza kutuma email kwa contacts zake AKISEMA ALISAFIRI KWENDA NIJERIA, ILA MIZIGO YAKE YOTE KAISAHAU KWENYE TAXI HIVYO ANAOMBA ATUMIWE HELA USD 2500 ILI AKATE TIKETI YA KURUDI NYUMBANI, AKIAHIDI KUZIRUDISHA MARA ARUDIPO.
Tatizo kubwa zaidi ni kuwa bosi wangu huyu ambaye ni profesa ana taarifa zake muhimu mno kwenye account hiyo, alijaribu hata kupiga simu kwa yahoo wenyewe ili wamsaidie kurecover document zake ila alikuwa bado kuwapata, hivyo hadi sasa bado anazihangaikia.
Kwa yeyote anayeweza kusaidia, au mwenye wazo la namna ya kumsaidia huyu NAOMBA MNISAIDIE JAMANI!!!!
Bila kufikiria sana akatuma passord hiyo, walichokifanya hao jamaa ni kubadiri password na information zote za account ambazo zingemsaidia kuretreive account yake, kisha wakaanza kutuma email kwa contacts zake AKISEMA ALISAFIRI KWENDA NIJERIA, ILA MIZIGO YAKE YOTE KAISAHAU KWENYE TAXI HIVYO ANAOMBA ATUMIWE HELA USD 2500 ILI AKATE TIKETI YA KURUDI NYUMBANI, AKIAHIDI KUZIRUDISHA MARA ARUDIPO.
Tatizo kubwa zaidi ni kuwa bosi wangu huyu ambaye ni profesa ana taarifa zake muhimu mno kwenye account hiyo, alijaribu hata kupiga simu kwa yahoo wenyewe ili wamsaidie kurecover document zake ila alikuwa bado kuwapata, hivyo hadi sasa bado anazihangaikia.
Kwa yeyote anayeweza kusaidia, au mwenye wazo la namna ya kumsaidia huyu NAOMBA MNISAIDIE JAMANI!!!!