Kiongozi ulikuja kupata wanaouza bei ya jumlaJamani wana jamvi nahitaj kujua duka lenye kuuza JEANS nzuri KARIAKOO lakini bei zake si za kutisha!
Kariakoo House of Jeans nawakubali sana,ukifika sokoni Kariakoo upande wa mabasi ya mwenge ulizia mtu yoyote pale ambaye ni mwenyeji anapajua...
30,25,20,18...Wao jeans wanaunza sh ngapi?
mtoa post kaulizia maduka ya kariakoo labda huenda hajui kwamba posta pia kuna maduka ya jeans kwa hyo alomwelekeza aende posta hajakosea sanaNimecheki hii post na nika-confirm tatizo ambalo watanzania wengi tunalo....Watu hawasomi, ni wavivu mno. Too bad for our country.
Watanzania tuwe na utamaduni wa kusoma na kuelewa tunachokisoma. Si generalize, ila ni tatizo. Watu hupenda kusoma magaazeti ya udaku coz maumbea ndo yamejaa huko.
- Mtu kasema anatafuta jeans 'jitu' linakurupuka na kusema aweke bei eti good news
- Mtu kasema anataka Kariakoo, 'jitu' linakurupuka linamwelekeza posta.
Naomba mnisamehe wale ambao nitakua nimewakwaza.
Back to the topic, mkuu mimi sijui duka lolote Kariakoo ambalo unaweza pata jeans nzuri. Naamini wapo wadau watakao kusaidia
Asanteni
Woolworth imeshahamia kariakoo?Nenda Levis pale next na Woolsworth
Nenda Levis pale next na Woolsworth