Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Garden Avenue
Kariakoo hiyooo!!
Garden Avenue
Jamani wana jamvi nahitaj kujua duka lenye kuuza JEANS nzuri KARIAKOO lakini bei zake si za kutisha!
nenda palae opp na kituo cha mwenge kko kwenye maduka ya urembo ingia ndani kuna kauchochoro pale ahh utapata kwa raha...bt y za dukan?umekua meku?
nenda karume babu ukitungua ya elfu 30 mkataba aichuji,kitu cha peke yake not like sale za kko ukinunua leo afta miez miwil kushnei
andaa laki 1 utapata jeans zako 4 ivi tulia..nxt mth andaa laki ya matshet ya ukweli ..nxt mashat...nxt viatu...BOKSA SI MUHIMU SANA
nenda mtumbani..karume,mchikichin,tandika au km vp kko kwenye mabanda
Nimecheki hii post na nika-confirm tatizo ambalo watanzania wengi tunalo....Watu hawasomi, ni wavivu mno. Too bad for our country.
Watanzania tuwe na utamaduni wa kusoma na kuelewa tunachokisoma. Si generalize, ila ni tatizo. Watu hupenda kusoma magaazeti ya udaku coz maumbea ndo yamejaa huko.
- Mtu kasema anatafuta jeans 'jitu' linakurupuka na kusema aweke bei eti good news
- Mtu kasema anataka Kariakoo, 'jitu' linakurupuka linamwelekeza posta.
Naomba mnisamehe wale ambao nitakua nimewakwaza.
Back to the topic, mkuu mimi sijui duka lolote Kariakoo ambalo unaweza pata jeans nzuri. Naamini wapo wadau watakao kusaidia
Asanteni
Nimecheki hii post na nika-confirm tatizo ambalo watanzania wengi tunalo....Watu hawasomi, ni wavivu mno. Too bad for our country.
Watanzania tuwe na utamaduni wa kusoma na kuelewa tunachokisoma. Si generalize, ila ni tatizo. Watu hupenda kusoma magaazeti ya udaku coz maumbea ndo yamejaa huko.
- Mtu kasema anatafuta jeans 'jitu' linakurupuka na kusema aweke bei eti good news
- Mtu kasema anataka Kariakoo, 'jitu' linakurupuka linamwelekeza posta.
Naomba mnisamehe wale ambao nitakua nimewakwaza.
Back to the topic, mkuu mimi sijui duka lolote Kariakoo ambalo unaweza pata jeans nzuri. Naamini wapo wadau watakao kusaidia
Asanteni
Kwasababu mtoa uzi hakuwa makini kwa hiyo we unadhani kwa kumpa majibu ya kejeli ndo utakuwa makini? Mbona tupo kwenye soko huria, vitu vingi tu vina ubora sawa lakini vinauzwa bei tofauti kulingana na duka, eneo ya sababu nyinginezo! unajuaje mtoa mada alikuwa anataka aelekezwe duka lenye bei afadhali? Hukumjibu kwa busara bwana so alochosema Tripo9 alitaka kukuonyesha kuwa hukuwa sahihi.Mimi umenikwaza bigtime. Mtoa thread hakuwa makini ndio maana tukampa majibu ili aelewe. Wewe unakuja unatukana hapa.
Wewe uliwahi kusikia wapi jeans kali ikauzwa bei rahisi kariakoo? HEBU SOMA VIZURI TITLE YA THREAD NA UNITAKE RADHI
hapo ni kariakoo ama posta? huyu bwana anahitaji maduka ya kariakooNenda Levis pale next na Woolsworth
Haa ati nin? 180,000 sasa hata mtaji si ushakufa hapo.
bei zake siyo kali?
kuna duka linaitwa wa ukweli...lipo karibu na magari ya mwenge via shekilango yanapopaki. ukishuka tu unashuka ngazi kuelekea chini kuna duka kulia.
Sio kali........ni Tshs 180,000 kwa pair of trousers