MSAADA.. Course ya HYDROGEOLOGY.

Aaron

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
3,019
4,693
kwa yeyote mwenye ufahamu wa kazi hii au aliyesoma/anayesoma anisaidie ajira zake..uzuri wake,ugumu wake..pamoja na changamoto zake.
 
Kijana kimbilia hiyo kozi ni nzuri,haina changamoto nyingi kwenye ajira,kazi ni nyingi sana.Vilevile hata ktk usomaji wake kama ulifaulu vizuri ni kawaida tu nyie ndio wataalam wa utafiti wa maji chini ya ardhi miamba na ukandarac wa visima vya maji.ni bataaaa tuuuuu,kozi ipo chuo cha rasilimali za maji tu dsm.
 
piga kazi kijana, hiyo kozi ni nzuri sana hasa pale unapopata nafasi ya kukaa mahala kwenye mfereji-- changamoto kwa kazi hii ni ngumu kupata kazi kutokana na mwamko mdogo wa watu katika kutumia maji ya ardhini lakini within 10 years to come nakuhakikishia kuwa itakuwa hot cake!!

Cha msingi--- Live your dreams not what others are doing or think--!
 
Jamaa yangu kasoma coz hy toka 2008 hadi leo yupo nyumbani anapata reseach tu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom