Jamani natumia Modem aina ya Huawei E220 ya zain, kabla nilikua nasubscribe kwa fulldata na ilikua iko poa sana, hadi nikawa ambassador wa kujitolea wa airtel, nikawa nawashauri watu wajoin airtel.
Wakati huo nilikua nikiconnect napata 3G lakini sasa niki-connect napata EDGE na speed ni 236kbs na bado inakatika katika hovyo, nikifungua tab tatu connection inakata kabisa, nikifungua tab moja inakuwepo ila very very slow, yaani unaunga chai, unakunywa bado inafungua page moja, Naomba msaada wana teknolojia
Wakati huo nilikua nikiconnect napata 3G lakini sasa niki-connect napata EDGE na speed ni 236kbs na bado inakatika katika hovyo, nikifungua tab tatu connection inakata kabisa, nikifungua tab moja inakuwepo ila very very slow, yaani unaunga chai, unakunywa bado inafungua page moja, Naomba msaada wana teknolojia