Habarini ndugu zangu
Nina kijana wangu kaomba chuo cha muhimbili tangu tarehe 15 mwezi huu lakin kwenye kupata namba za malipo imeandika please wait mpaka leo, najaribu kuwapigia simu hawapokei kabisa. Kuna namna hili naweza kusaidiwa kulitatua? Natanguliza shukrani zangu
Nina kijana wangu kaomba chuo cha muhimbili tangu tarehe 15 mwezi huu lakin kwenye kupata namba za malipo imeandika please wait mpaka leo, najaribu kuwapigia simu hawapokei kabisa. Kuna namna hili naweza kusaidiwa kulitatua? Natanguliza shukrani zangu