msaada:baba na mama wanapoachana na mtoto wa mwaka na nusu inakuaje?

Ruhazwe JR

JF-Expert Member
Jan 31, 2011
3,403
920
naomba kujua juu ya baba na mama wanapotengana,na baba akataka apewe mtoto wake lakini mtotohuyu ana umri wa miaka 2 na nusu je utaratibu unakuaje?
 
Kulingana na sheria za Tanzania wazazi wanapotengana, uamuzi wa mahakama kuwa nani akae na watoto huwa unaangalia kanuni ya 'welfare of the child',' je mtoto akikaa na nani kati ya wazazi wake atapata malezi na makuzi mazuri'. Pia kuna dhana inayokanushika kuwa mtoto chini ya miaka saba (7) anapaswa kuwa chini ya uangalizi wa mama yake.

Nidhahiri kuwa mtoto wa miaka miwili na nusu anapaswa kuwa chini ya uangalizi wa mama yake,mama anaweza kunyimwa kukaa na mtoto ikiwa kuna sababu maalum mfano ana matatizo ya akili au anamyanyasa mtoto n.k.

NB: kama una kesi kama hii ni vyema ukatafta mwanasheria akupe ushauri zaidi.
 
Kulingana na sheria za Tanzania wazazi wanapotengana, uamuzi wa mahakama kuwa nani akae na watoto huwa unaangalia kanuni ya 'welfare of the child',' je mtoto akikaa na nani kati ya wazazi wake atapata malezi na makuzi mazuri'. Pia kuna dhana inayokanushika kuwa mtoto chini ya miaka saba (7) anapaswa kuwa chini ya uangalizi wa mama yake.

Nidhahiri kuwa mtoto wa miaka miwili na nusu anapaswa kuwa chini ya uangalizi wa mama yake,mama anaweza kunyimwa kukaa na mtoto ikiwa kuna sababu maalum mfano ana matatizo ya akili au anamyanyasa mtoto n.k.

NB: kama una kesi kama hii ni vyema ukatafta mwanasheria akupe ushauri zaidi.
mkuu nashukuru sana kwa kunipa mwelekeo kwani kaka yangu yamemkuta na inaonekana kabisa shemeji hata weza kumlea mtoto kwa sababu za kitabia
 
Mka aliyetoa ushauri hapo juu yupo corect na namuunga mkono,custody ya mtoto hawez pewa baba endapo mtoto bado ni mdogo chini ya miaka 7, ni lazima apewe mama hapo
 
Hujaelewa,si lazima apewe mama eti sababu ana chini ya miaka 2!! Kama mama ni Insane,changu etc hao mtoto halazimiki kukaa na mama!!! But yahitaji proof
 
Back
Top Bottom