Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Ngoja kijana amwage radhi kwanza. Utasikia moto wake baada ya hapo. Vijana wamechoka na ubabaishaji huu. Utamsikia tu Nape, na wengine wengi saaana sasa watajitokeza hadharani.
nape tangu apewe ukuu wa wilaya ametulia tuli kule bonden....