The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 666
- 1,416
Wataalam,
Jana nmetoka kuachia 30k kwa jamaa aliyenitafutia kazi, alinlilia shida eti anahitaji kuweka mafuta. Ile nafika home najisachi nakuta kwenye pochi nmebakiza shingi 300 tu. Kidogo nlale njaa ila bahat nzuri baba mkwe ana mawe kidogo, nikamtwangia hewani akanrushia kama laki3 ila kwa masimango kinoma. Anasema eti ooh "hiyo kazi gani Haina hela, achana nayo usimamie miradi ya nyumbani"
Asa Mimi katika vitu sipendi ni kusimangwa, na sitaki nikae kinyonge kwa wakwe, kwahyo nkapandwa na hasira sana na leo nkaamka nazo nikasema haiwezekan napambana kukwepa kujikomba ukweni halafu hela Zangu ziwe zinaishia kwa jamaa alontafutia kazi.
So Asubuhi Kabla ya kuingia job nkanunua Smart gin 2 kwa mangi, nikazikata kufifisha aibu ili nikikutana na mwamba kazini nimchane kuwa pigo zake za kuniomba omba hela sizielewi na kama vipi apunguze au akate mazoea kabisa na Mimi, Mimi sio mume wake.
Sijui ni zile Smart gin au nini, lakini nilijikuta naongea sana kuliko nilivopanga, Afu bahat mbaya au nzuri nilimkuta anaongea na wanafunzi nikaanza kumpa makavu yake hapohapo...Cha ajabu nilitegemea jamaa atawaka juu turushiane maneno ila nikashangaa mwamba amepoa kama maji mtungini.
Nimeongeaa wee, yeye yupo kimya tu. Halafu nilipomaliza akaondoka akawasha gari akateleza. Nakuja kusikia kazini kareport sick. Nmempigia hapokei na nahisi kaniblock maana saiv simu hazitoki.
Sasa sijui kesho akija itakuwaje, ngoja tuendelee kusikilizia michezo unaendaje.
Jana nmetoka kuachia 30k kwa jamaa aliyenitafutia kazi, alinlilia shida eti anahitaji kuweka mafuta. Ile nafika home najisachi nakuta kwenye pochi nmebakiza shingi 300 tu. Kidogo nlale njaa ila bahat nzuri baba mkwe ana mawe kidogo, nikamtwangia hewani akanrushia kama laki3 ila kwa masimango kinoma. Anasema eti ooh "hiyo kazi gani Haina hela, achana nayo usimamie miradi ya nyumbani"
Asa Mimi katika vitu sipendi ni kusimangwa, na sitaki nikae kinyonge kwa wakwe, kwahyo nkapandwa na hasira sana na leo nkaamka nazo nikasema haiwezekan napambana kukwepa kujikomba ukweni halafu hela Zangu ziwe zinaishia kwa jamaa alontafutia kazi.
So Asubuhi Kabla ya kuingia job nkanunua Smart gin 2 kwa mangi, nikazikata kufifisha aibu ili nikikutana na mwamba kazini nimchane kuwa pigo zake za kuniomba omba hela sizielewi na kama vipi apunguze au akate mazoea kabisa na Mimi, Mimi sio mume wake.
Sijui ni zile Smart gin au nini, lakini nilijikuta naongea sana kuliko nilivopanga, Afu bahat mbaya au nzuri nilimkuta anaongea na wanafunzi nikaanza kumpa makavu yake hapohapo...Cha ajabu nilitegemea jamaa atawaka juu turushiane maneno ila nikashangaa mwamba amepoa kama maji mtungini.
Nimeongeaa wee, yeye yupo kimya tu. Halafu nilipomaliza akaondoka akawasha gari akateleza. Nakuja kusikia kazini kareport sick. Nmempigia hapokei na nahisi kaniblock maana saiv simu hazitoki.
Sasa sijui kesho akija itakuwaje, ngoja tuendelee kusikilizia michezo unaendaje.