Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
Mheshiwa Mwanakijiji
Heshima yako mkuu. Naomba tupe mrejesho wa majibu ya barua yako tume ya uchaguzi kuhusu wagombea waliopita bila kupingwa.
Leo nimesikia mgombea wa tlp amerejeshwa uwanjani kumvaa membe. Heko NEC.
Heshima yako mkuu. Naomba tupe mrejesho wa majibu ya barua yako tume ya uchaguzi kuhusu wagombea waliopita bila kupingwa.
Leo nimesikia mgombea wa tlp amerejeshwa uwanjani kumvaa membe. Heko NEC.