kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,856
- 7,005
Ni sawa mkuu ila kwa hizo busness zinaweza kukuongezea stress kuliko kupunguza, niliwahi kuwa na idea ya saloon na hiyo ya bodaboda ila baada ya kufanya utafiti nikagundua ina stress kuliko nilivyofikiri hasa kupitia kwa baadhi ya rafiki zangu waliofanya hizo biashara, biashara ya duka ndiyo nafanya sasa hivi na inanilipa sana ila inatokana na kuwa wife ndo mtu anayeshinda dukani na tunaelewana sana. Njia nyingine unayoweza kufanya kwa sasa au baadae ni kununua hisa katika mashirika yanayopata profit, unakua unapata gawio kila mwaka japo linaweza kuwa kidogo ila capital yako inakua salama. Ila ngoja tuone na michango mingine ya watu waliopractice hizo biashara hope mwisho wa siku utapata wazo zuri.Mkuu asante sana ushauri wako naufanyia kazi,pia kuhusu wateja wa humu JF nimepata aisee sihaba.
Lakini tatizo lakutaka kumuweka mtu nikuwa sasa naingia mwaka wa tatu course yenyewe ni ngumu Mechanical eng ndio maana nilikuwa nataka nifanye biashara ambayo sintoisimamia sana.Pia nilitaka nichangie kumsomesha dogo maana hali mbaya hom ingawa kafauru vizuri na course yake priority lakini ndio hivo mkopo hamna.