Mrejesho juu ya mwanamke wangu alieenda ofisini na love bite

Umempa sifa ya bure tu long distance haina shida kabisa it really depends on the personality and needs and wants. I had been in a long distance relationship years ago. We ended up getting and stayed together for 4 years before our relationship finally came to an end lakini umbali haukua sababu

Everyone has different coping mechanisms and emotional resilience, so one person may find a long distance relationship more difficult than another person. Mm naipenda sababu binadamu kiasili huwa tunapenda uhuru kidogo, kubanana sana sio
Kaka Mkubwa sema kweli, all that time hukuteleza hata kidogo?🤣🤣
Simaanishi mkiwa karibu haiwezekani kuteleza, Ila Kwa long distance possibility ya kuteleza na kutumbukia huko huko ni kubwa🤣, unateleza Kwa Uhuru Yani....

Msimamo wangu ni ule ule.."Ili long distance relationship idumu inabidi wote wanne muwe serious" by mdau wa Jf (nimemsahau jina).....tena naongezea na mjizime data🤣🤣🤣
 
Habar za humu ..
Moja kwa moja bila kupoteza muda naomba kutoa mrejesho kuhusu mchumba wangu kuonekana na love bite shingoni..
Siku ile naandika hapa nilikua na hasira kali na isiyo elezeka niliazimia kurud dar ili nikamalizane nae kama nilivoandika pale.

Ila baada ya kuleta bandiko langu hapa nilisoma maoni ya wadau mbali mbali kwa kweli niseme kile nilichokua nawaza kichwani kumfanyia hakika Kingeweza kuleta madhara makubwa ulemavu wa kudumu au kifo.

Sasa nilichokifanya baada ya kusoma maoni hapa nili cancel safari ya kwenda dar nikaamua kubaki Dodoma ili nijipe muda wa kuwaza na kutafakari vizuri na kuituliza hasira yangu..

Baada ya kukaa na kutafakari kwa kina niliona hakuna sababu ya kumpiga au kufanya fujo yoyote juu yake.

Niliamua ntamuacha aendelee na maisha yake na mm niendelee na maisha yangu..
Na tangu jumatano nipo dar na nilimuita nyumbani na nikamuuliza japo alibisha nilimbana sanaaa mpaka akaeleza ukweli wote.

Ukweli ni kwamba alinisaliti, nilimueleza siwez kuendelea nae tena lkn muda wote niliokua naongea nae nilibadilika sura ilabadilika kifua kikatuna kwa hasira ila kwa vile tiari nilikua nishosoma maoni mengi ya wadau hapa sikumpiga hata kibao ..

Nilimuamuru achukue kila kilicho chake au anachoona kinafaa na vyote nilivomfanyia nilimuambia abaki navyo tu.

Japo aliomba sana msamaha na kulia hakika sikumuelewa sabab moyoni alishatoka.

Alikua mgumu kuondoka na ilikua ni mida ya saa tatu usiku , kwa jinsi nilivokua nimechukia hakuwah kuniona katika hali kama hiyo ya kukasirika kiasi kile, nilimuambia nakupa lisaa limoja nikirudi nikikukuta humu ndani kichwa chako kitakua ni halali yangu.. nikaondoka nikaenda sehem nikakaa sikutaka kutumia kilevi chochote nilikunywa maji tuu saa sita usiku nilirudi sikumkuta.

Japo tangu juzi nimekua nikitafutwa na ndugu zake na marafiki zake sijapokea simu zao sababu sina mpango wa kumsamehe.

Naamini Mungu atanipa wangu sahihi kwa wakati Muafaka.

Wanawake nawasihi usaliti sio kitu kizur wanaume huwa hatuna roho ya kumsamehe msaliti. Ukiamua kusaliti Linda heshima ya mtu wako fanyia mbali uovo wako ila za mwizi ni arobaini..
Asanteni sana kwa ushauri wenu hakika pengine sa hii ningekua jela.

Ila omba yasikukute kusalitiwa na mchumba inauma sana.


Usije thubutu kumsikiliza au kumrejesha, wanaume hatufanyi huo ujinga, akakae na Mbwa qliyemtoa chupi, nachukia sana wanawake washenzy.
 
Kaka Mkubwa sema kweli, all that time hukuteleza hata kidogo?
Simaanishi mkiwa karibu haiwezekani kuteleza, Ila Kwa long distance possibility ya kuteleza na kutumbukia huko huko ni kubwa, unateleza Kwa Uhuru Yani....

Msimamo wangu ni ule ule.."Ili long distance relationship idumu inabidi wote wanne muwe serious" by mdau wa Jf (nimemsahau jina).....tena naongezea na mjizime data
kuteleza kupo but it’s not because the long distance made me do it, it’s because i choose to do it.
 
Yaan Dom to Dar naunakaa ukisema unamwanamke wako yupo Dar na unamfatilia aloo watu mnamoyo yaan mimi siku nilioambiwa unatakiwa ulipoti Dodoma na kuondoka Dar usiku wake nilimuita kiumbe yule na kumwambia nafkili safari yetu ya mahusiano iishie hapa na sioni sababu ya kuendelea na wala siitaji ma drama kuwa huru na maisha yako end of business en no more.
Wewe ndo mwanaume sasa, me huwa nacheka sana nikiona eti mtu anafanya kazi dodoma alafu mara aseme ana mchumba dsm ni upotevu wa muda na resources
 
Wapo wanawake waaminifu 100% lakini ni kwa uchache sana,Cha kushangaza wanapata wanaume wasioeleweka
You hit the point, huyu Mungu ana siri sana, yaani ukiwa mwaminifu unapewa chakaramu, imagine Mungu angewakutanisha wote machakaramu nadhani maisha yangekua magumu sana
 
Kwa kweli, na maisha ni matamu watu kama nuir mkiwepo maana stress zinapungua
Tukidakwa tunachezea kichapo tusipodakwa tunaendelea tulipoishia....mme wako akienda tu kariakoo kupokonya mizigo ya machinga si tunadinya
 
Habar za humu ..
Moja kwa moja bila kupoteza muda naomba kutoa mrejesho kuhusu mchumba wangu kuonekana na love bite shingoni..
Siku ile naandika hapa nilikua na hasira kali na isiyo elezeka niliazimia kurud dar ili nikamalizane nae kama nilivoandika pale.

Ila baada ya kuleta bandiko langu hapa nilisoma maoni ya wadau mbali mbali kwa kweli niseme kile nilichokua nawaza kichwani kumfanyia hakika Kingeweza kuleta madhara makubwa ulemavu wa kudumu au kifo.

Sasa nilichokifanya baada ya kusoma maoni hapa nili cancel safari ya kwenda dar nikaamua kubaki Dodoma ili nijipe muda wa kuwaza na kutafakari vizuri na kuituliza hasira yangu..

Baada ya kukaa na kutafakari kwa kina niliona hakuna sababu ya kumpiga au kufanya fujo yoyote juu yake.

Niliamua ntamuacha aendelee na maisha yake na mm niendelee na maisha yangu..
Na tangu jumatano nipo dar na nilimuita nyumbani na nikamuuliza japo alibisha nilimbana sanaaa mpaka akaeleza ukweli wote.

Ukweli ni kwamba alinisaliti, nilimueleza siwez kuendelea nae tena lkn muda wote niliokua naongea nae nilibadilika sura ilabadilika kifua kikatuna kwa hasira ila kwa vile tiari nilikua nishosoma maoni mengi ya wadau hapa sikumpiga hata kibao ..

Nilimuamuru achukue kila kilicho chake au anachoona kinafaa na vyote nilivomfanyia nilimuambia abaki navyo tu.

Japo aliomba sana msamaha na kulia hakika sikumuelewa sabab moyoni alishatoka.

Alikua mgumu kuondoka na ilikua ni mida ya saa tatu usiku , kwa jinsi nilivokua nimechukia hakuwah kuniona katika hali kama hiyo ya kukasirika kiasi kile, nilimuambia nakupa lisaa limoja nikirudi nikikukuta humu ndani kichwa chako kitakua ni halali yangu.. nikaondoka nikaenda sehem nikakaa sikutaka kutumia kilevi chochote nilikunywa maji tuu saa sita usiku nilirudi sikumkuta.

Japo tangu juzi nimekua nikitafutwa na ndugu zake na marafiki zake sijapokea simu zao sababu sina mpango wa kumsamehe.

Naamini Mungu atanipa wangu sahihi kwa wakati Muafaka.

Wanawake nawasihi usaliti sio kitu kizur wanaume huwa hatuna roho ya kumsamehe msaliti. Ukiamua kusaliti Linda heshima ya mtu wako fanyia mbali uovo wako ila za mwizi ni arobaini..
Asanteni sana kwa ushauri wenu hakika pengine sa hii ningekua jela.

Ila omba yasikukute kusalitiwa na mchumba inauma sana.
umetisha sana Uncle💪

hivyo ndivyo Mwanaume Kamili anapaswa kufanya uamuzi.
short and clear in peace.

ingekua mwanaume suruali au wa dar angempasua mbaya sana halafu analala mbele atakamatwa baadae...

Uncle ninakuombea,
katika hali hiyo uliyonayo ya mabaki ya uchungu na hasira nafsini mwako dhidi ya demu agenti,

Baraka na Neema za Mungu zikawe katika nyendo zako za kusaka mchumba mrembo na mwaminifu kutoka kwa Mungu.

Kwa Jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,

Itikia na ''ikawe kadiri ya mapenzi ya Mungu" Amen 🙏
 
Tukidakwa tunachezea kichapo tusipodakwa tunaendelea tulipoishia....mme wako akienda tu kariakoo kupokonya mizigo ya machinga si tunadinya
Point yangu hapo juu nilimaanisha maisha ni matamu tukiwa na watu wenye comedy kama nyie, i didnt mean kwamba watu wanaoiba wake za watu, hilo siliafiki, napinga kwa miguu na mikono, tafuta wa kwako
 
Kama ww ni ke basi na wewe ni mshenzi naona unatetea upumbavu.. Hujiheshimu wala kujitambua.
Wewe ndo ungejua ufanye maamuzi kiume yaan na watu wako wa karibu na sio kutusimliiia mara love bites mara kile afu useme una kifua cha kutunisha thubutuuuu
 
Wewe ndo ungejua ufanye maamuzi kiume yaan na watu wako wa karibu na sio kutusimliiia mara love bites mara kile afu useme una kifua cha kutunisha thubutuuuu
Yaani mimi kabisa nikakae nianze kujisemesha kwa rafiki zangu au ndugu zangu eti mwanamke wangu amenisaliti,Niwaambie kina masawe huyu amenisaliti? Aisee kuna vitu vya kuwaambia ndugu lkn si usaliti yaani nikae na ndugu zangu tunajadili ujinga wa mtu? Ode lawe nke isembo indo ndi.. Nke wa Mashami(Machame) te
 
Back
Top Bottom