Mrejesho: Hatimaye usiku wa jana nimefanikiwa ku-update android version marshmallow

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,661
Habarini, Siku kadhaa zilizo pita nikikuja na uzi hapa nikiomba watu wanisaidie kunielekeza jinsi ya kuupdate android version toka 5.1 kwenda Marshmallow 6.0 na nina tumia HTC ONE M9!

Kuna mmoja aliniambia nisubiri offical itoke sasa Jana nikaamua kutembelea website ya HTC nikaona wametoa maelekezo jinsi ya Kuupdate Kwenda Marshmallow na kuna njia mbili moja ni kupitia simu na nyingine ni Manually unatumia Pc

NilimPM Chief Mkwawa kumuuliza kama kweli offical update imetoka Chief Mkwawa akanielekeza kitu kizuri sana (Thanks bro) alisema katika simu yangu niende settings>about phone>software updates halafu niangalie

Kweli nilifanya hivyo na nikaona wananiambia update ni Available na ukubwa wa file la kudownload ni 1.26GB

kwenye Website ya HTC Waliniambia kuwa wakati nina update kupitia simu moja kwa moja simu yangu ita jireboot mara kadhaa na nisishangae na itachukua mda kama wa dakika 60 kukamilisha!

Nikajiunga bundle la voda 4GB SA 5 NIKAAnza kudownload nilipo maliza nika install update na ikaanza kuji update hadi ikamaliza bila usumbufu wowote wala shida yoyote ile

Hatimaye sasa natumia Android Version 6.0 Marshmallow na Enjoy sana kikubwa ni kuwa Charge ya Simu yangu haiishi haraka kama Mwanzo hapa nipo net toka sa ngapi sijui na Charge inaenda kidogo sana na ukiwa huitumii ndo inatunza sana kwa sababu ya Uwezo wa hii Version

On Top yaani kwa screen kuna news zinakuwa zinatokea pale current news all over the world nikitaka nasoma

Pia security hii version ipo vizuri!

Kwa wote walio kuwa wanahangaika kupdate mnaweza kutumia njia ambazo mimi nimetumia!
 
hongera.

ila windows phone kuitengeneza tu win 10 inewachukua siku kibao

kuwafikishia watumiaje nako inachukua muda tena....

Bigup android users
 
hongera.

ila windows phone kuitengeneza tu win 10 inewachukua siku kibao

kuwafikishia watumiaje nako inachukua muda tena....

Bigup android users
Thanks Mkuu yaani mimi simu zile za kipekee huwa sipendi zababu ndo hio hata hu enjoy vitu tofauti tofauti kama iphone na Nokia windows phone
 
Habarini, Siku kadhaa zilizo pita nikikuja na uzi hapa nikiomba watu wanisaidie kunielekeza jinsi ya kuupdate android version toka 5.1 kwenda Marshmallow 6.0 na nina tumia HTC ONE M9!

Kuna mmoja aliniambia nisubiri offical itoke sasa Jana nikaamua kutembelea website ya HTC nikaona wametoa maelekezo jinsi ya Kuupdate Kwenda Marshmallow na kuna njia mbili moja ni kupitia simu na nyingine ni Manually unatumia Pc

NilimPM Chief Mkwawa kumuuliza kama kweli offical update imetoka Chief Mkwawa akanielekeza kitu kizuri sana (Thanks bro) alisema katika simu yangu niende settings>about phone>software updates halafu niangalie

Kweli nilifanya hivyo na nikaona wananiambia update ni Available na ukubwa wa file la kudownload ni 1.26GB

kwenye Website ya HTC Waliniambia kuwa wakati nina update kupitia simu moja kwa moja simu yangu ita jireboot mara kadhaa na nisishangae na itachukua mda kama wa dakika 60 kukamilisha!

Nikajiunga bundle la voda 4GB SA 5 NIKAAnza kudownload nilipo maliza nika install update na ikaanza kuji update hadi ikamaliza bila usumbufu wowote wala shida yoyote ile

Hatimaye sasa natumia Android Version 6.0 Marshmallow na Enjoy sana kikubwa ni kuwa Charge ya Simu yangu haiishi haraka kama Mwanzo hapa nipo net toka sa ngapi sijui na Charge inaenda kidogo sana na ukiwa huitumii ndo inatunza sana kwa sababu ya Uwezo wa hii Version

On Top yaani kwa screen kuna news zinakuwa zinatokea pale current news all over the world nikitaka nasoma

Pia security hii version ipo vizuri!

Kwa wote walio kuwa wanahangaika kupdate mnaweza kutumia njia ambazo mimi nimetumia!
Ndugu natumia s4,nilipoenda about phone sijaona sehemu system update
 
Ndugu natumia s4,nilipoenda about phone sijaona sehemu system update
Njia rahisi download kies 3 kutoka kwenye website ya samsung download na install kwenye pc yako chukua usb chomeka kwa simu yako fanya updating ila ni kwenda lollipop na sio Marshmallow
 
S4 zinaisha lolpop .zile za kwanza ndio zilikuwa na hizo sytem update.s4 za karibuni hazina system update.
ukiona simu haina sehemu ya ku update ujue ni simu wamezitoa marekani/korea/japan na nchi nyengine kubwa, zilikuwa zimelokiwa kwenye mitandao yao wao wakazi unlock ndio wakaja kuziuza huku.

wenzetu huko nchi zilizoendelea mtandao wa simu ndio unatoa update na sio mtengeneza simu ndio maana wanatoa hio option ya ku update.
 
ukiona simu haina sehemu ya ku update ujue ni simu wamezitoa marekani/korea/japan na nchi nyengine kubwa, zilikuwa zimelokiwa kwenye mitandao yao wao wakazi unlock ndio wakaja kuziuza huku.

wenzetu huko nchi zilizoendelea mtandao wa simu ndio unatoa update na sio mtengeneza simu ndio maana wanatoa hio option ya ku update.
Aisee kwa hiyo ndo imekula kwangu
 
ukiona simu haina sehemu ya ku update ujue ni simu wamezitoa marekani/korea/japan na nchi nyengine kubwa, zilikuwa zimelokiwa kwenye mitandao yao wao wakazi unlock ndio wakaja kuziuza huku.

wenzetu huko nchi zilizoendelea mtandao wa simu ndio unatoa update na sio mtengeneza simu ndio maana wanatoa hio option ya ku update.
Mkuuu habari me ninatumia Htc desire 816 dual sim ilikuja kuja na Android version ya Kit kat but nilii update to lollipop automatic kwa kutumia simu tuu yaani About phone- software update ikakubali lkn tatizo ni kwenda kwenye Android ya mushroom sina uhakika ni sawa kama inavyobidi iandikwe coz nikitumia mfumo ule ule wa mwanzoni sioni update yoyote lkn nikisoma GSM arena simu yangu inauwezo wa kupokea Mushroom Android vip mkuu kuna njia ingine ya kutumia au nivute subira asante.
 
Mkuuu habari me ninatumia Htc desire 816 dual sim ilikuja kuja na Android version ya Kit kat but nilii update to lollipop automatic kwa kutumia simu tuu yaani About phone- software update ikakubali lkn tatizo ni kwenda kwenye Android ya mushroom sina uhakika ni sawa kama inavyobidi iandikwe coz nikitumia mfumo ule ule wa mwanzoni sioni update yoyote lkn nikisoma GSM arena simu yangu inauwezo wa kupokea Mushroom Android vip mkuu kuna njia ingine ya kutumia au nivute subira asante.
mkuu soma vizuri gsmarena wameandika planned upgrade to 6.0 hivyo bado ila mpango upo kwa baadae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom