Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Ha ha ha ha ah! Lakini MKAPA ana KINGA YA KUTOKUSHTAKIWA KWA MUJIBU WA "KATBA". Hivi hamuoni huu mchezo CCM wanaowafanyia watanzania?
Yaani in short, wakubwa wanapanga haya madudu strategically, waiibie nchi then issue zikifutuka kama hivi, wasingizie ilikuwa ORDER kutoka juu wakijua vizuri (si walipanga wenyewe) kwamba huyo wa juu ana KINGA. Mkapa mwenyewe, Mramba, Yona, et. al wanajuai vizuri sana wanachokifanya na tusitegemee lolote.
Issue ya Mahalu ilikuwa hivi hivi - KINGA YA KUTOSHTAKIWA kwa Rais Mstaafu. Ukiona Rais au Rais Mstaafu anapandishwa kizimbani ujue mchezo umeisha, hakuna kesi hapo.
KATIBA MPYA izuie kabisa hii kitu inaitwa KINGA KWA RAIS MSTAAFU - ni ufisadi mtupu.
For sure huu ni mchezo wa mda mlefu sana. Bahati mbaya mchezo huu umekuwa ukifanywa na wajaja wachache waliosomeshwa kwa fedha za walala hoi, maskini na wasio elimishwa juu ya haki zao. Hata hivyo 'time will tell'