Kinyambiss,Watu ni wapumbavu sasa kujenga apartment ndio ufisadi? Ever heard of a F**K*N BANK? Yani hii JF imekuwa choo cha baa..
Ningekuomba na wewe uende benki tuone utajenga apartments ngapi. Ukishafanya hivyo rudi hapa ututukane sote kuwa ni wapumbavu.