Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,008
Wandugu: Ni wapi wamesema baada ya kurudisha mali hawatachukuliwa hatua za kisheria in regards to their actions?
sasa wachukuliwe hatua kwa kosa gani? na hizo mali wanarudishwa kwa amri ya chombo gani? Na ni nani ameamua ni mali ipi irudishwe?