Mpya: Tume ya Rais ya EPA yalonga

Wazee Tulizeni Boli Ndio Kazi Imeanza Hivi Unafahamu Kwanini Mawaziri Wa Mambo Ya Ndani Sehemu Mbalimbali Duniani Wanasema Jamani Hee Wale Wote Wenye Silaha Za Kutumia Ruisasi Za Moto "wanaombwa Wazisalimshe Kwenye Vituo Vya Polisi Kuanzi Tarehe Fulani Hadi .....tunawahakikishia Hatuta Wafungulia Mashtaka. Hii Inaitwa Kipindi Cha Dirishani Yaani Window Period. Maana Yake Kama Kuna Moto Sio Ulazmishe Kupita Mlangoni. Mara Nyingi Kesi Kwa Kipindi Hiki Cha Mwazo Zinzsababishwa Ushahidi Kukimbizwa Hofu Kuzidi Pia Hatutaki Kuwapoteza Mashahidi Kwa Shinikizo La Damu. Tuwe Nao Tuwapende Watubu Kwa Hiari Tusonge Mbele.hii Tanzania Unayoombea Kila Siku Iko Njiani Usihofu Vitukuu Vyetu Watafikia Hapo.aslimia Zaidi Ya 95 Kwa Hisia Zangu Tulikaa Mkao Wa Wapi Tutapata Deal Tujikwamue Na Umasikini Na Aina Ya Madeal Ndiyo Hayo Hayo Wenzetu Wametuwahi. Sasa Tuamue Kuanda Kizazi Cha Kuishi Kwa Maadili Lakini Sio Hichi Kizazi Chetu Kilicho Jaa Mapungufu Ambayo Sio Nia Yetu Kuwa Nayo
 
Naomba kuuliza, jee hizi fedha za EPA zilitolewa kama mkopo? je zilitolewa kama malipo ya huduma fulani au kitega uchumi?

Je kulikuwa na utaratibu wa kutaka zilipwe (kurudishwa)? kama ni malipo hewa je hamuoni ulazima kuwafikisha kwenye haki waliotoa malipo na waliopokea malipo? Je kuzirudisha hizi pesa ni kukiri makosa (kwa waliopokea malipo hewa) au ni kulipa deni (kwa waliokopa)?
 
Nimesoma iyo taarifa kwa masikitiko makubwa...nasikitika sio kwamba kwa kuona fedha za EPA zinaanza kurudishwa..La hasha!!!!nasikitika kuona ni namna gani watanzania tunavyoendelea kwa makusudi kabisa kuonekana wajinga..wazungu wanatuona tumelala..ya hata hawa watanzania wenzetu nao watuone sisi ni mazoba na wajinga????no way!!!! itamuingia vipi akilini mtu mzima eti unamuambia zile hela zenu mlizotachia tuzifuatilia sasa zinaanza kurudishwa... how can we prove that?????thats our money basi fanyeni hata kitu kitakachotupa imani kuwa hizo hela zinarudi kwa kuwakamata hao watu wanaowarudishia hizo hela...at least kwa hapo tunaweza tukawaelewa..lakini kutuambia tu kuwa hela zinaanza kurudishwa na ukaishia hapo hapo..na kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa eti unatushukuru kwa kutoa taarifa huko nikututukana watanzania!!!!!! we wannna know each and everything...be trasparent hii ni ishu inayomgusa kila mwananchi na siyo kamati yenu tu...mnapaswa kujua hilo!!! na ili imani na hiyo kamati irudi..tunataka kuona watu ambao mmesema wanarudisha hela wamekamatwa na kupelekwa mbele ya haki..au atleast mtutajie majina ya hao waliorudisha na mseme mmeshindwa kuwakamata..........kama kweli tunania ya kuijenga upya nchi yetu..tuachane kabisa na mambo ya kizamani..ndio maana jamboforums leo ikawepo kuwaonyesha tu kuwa kama mnaataka kuendelea basi ambo yanatakiwa kuwa hivi..yani uwazi na ukweli..hamna kumuonea mtu aibu wakati anaua taifa lako...please go and ask Dr. Mwakyembe kama kazi mmeshindwa.

Ni maoni na mtazamo tu..wananchi msijenge chuki.

Wakunyuti@yahoo.com
 
Rev nakubaliana na wewe kabisa, kwamba a dollar today is not a dollar kesho. Swali langu linakuja ya kwamba jee serikali inafahamu kwamba dollar imedepriciate for more than 13% for the past few month? Sasa kama hawa wehu wanatupa dolla 133Million ujue kwa sasa itakuwa imeshuka kwa -13%. Ndio maana nilisema Mr MBA fake aka mkulo doesn't know Finance 101.

Second thing, Hawa waheshimiwa hizi fedha wametumia kwenye individual investments, wamshea pata high Return on Investment(ROI), sasa ni wapi unaweza kwenda kukopa kwa 0% interest rate?

Kuna mambo matatu yanabidi yajumlishwe, kwanza ni Foreign Exchange Risk, pili Interest rate na tatu ni penalty. Kisha baada ya hizo hatua tatu za msingi, then we want them to stand infront of judge na kueleza mbele ya sheria.

Kuwasweka lupango pasipo kusecure 100% of the fund + Forex risk + inflation + interest Rate + Penalty ni kuchezea Watanzania. Nina swali mmmoja waungwana.

Hili swala tusipo lisimamia kidete litatulia kama maji ndani ya mtungi, nina wazo moja kuu nalo ni kutoa matangazo kwenye vyombo vya habari huko nyumbani kuomba JK kuingilia kati kama Mkulo aka MBA feki atakataa kuyataja majina ya wezi.
 
Mwanakijiji,
naelewa where you are coming from.
hata hivyo, kwa mazingira ya siasa na mahakama za Tanzania, pamoja na njaa za majaji wetu; ukiniambia nichague nitachagua hela zirudishwe kwanza.
Ni jambo la kawaida mtuhumiwa kukubali kosa polisi akaandika maelezo ya kukiri, na sahihi akaweka lakini akifika mahakamani anaweza kukataa kosa, na akikana confession yake akaachiwa.
Sasa hawa sio wezi wa kawaida; hawa ni watu wenye nafasi zao, ambao wamekwiba wakishirikiana na vigogo; even before haijajulikana walikuwa na mawakili; they knew their defence hata kabla hawajakamatwa. Ukiwafungulia kesi una fifty-fifty chance ya kuwin, ukishindwa maana yake hata hizo hela hutakaa uzione. Ukishinda bado ana haki ya kukata rufaa..anything can happen, including change of leadership..cos kesi kama hizo miaka mitano mahakamani ni kama kawa.
Pia najiuliza, watashtakiwa under which law?
Hawakuiba; walifuata taratibu zilizopindishwa wakapata fedha. Ikifikia mahali pa kesi, wadaiwa wa kwanza watakuwa watumishi wa Bank; and mind you hawa hawana hela, walitoa pesa; wadaiwa wa pili, hayo makampuni, watakuletea makaratasi yanayoonyesha namna walivyoomba pesa na wakapewa bila kuiba wala kufoji; what do you do with them? It is nearly impossible to prove any criminal intent in this type of case.
So, if you ask me, bora kenda wende kuliko kumi nenda rudi

The little money recovered is an achievement; na tena haizuii kuwafungulia mashataka; ila ukianza na mashtaka unapoteza haki ya kutumia njia za kidiplomasia kurecover.
To me whats been done is the better evil
 
Haya mazingaombwe hata yale ya "maprofesa" Ndumba Nangae na Maji Marefu hayaoni ndani!

Yaani watuhumiwa wanajulikana, walipo panajulikana, mbinu wanazotuhumiwa kutumia zinajulikana, kiasi walichoiba kinajulikana. Ripoti ya E&Y ipo, kwanini sheria haifuati mkondo wake?

Leo tunaambiwa wameanza kurudisha pesa, akina nani hao? waliiba/walikopa/walichota kiasi gani? Lini? Wamerudisha kiasi gani?Wapi, BOT, TAKUKURU? Mbona taarifa yenyewe imepwaya hivyo?

Hii tume ingekaa kimya imalize kazi yake itoe ripoti kamili maana kutoa taarifa nusunusu kunapelekea wananchi kujiuliza hii tume ina nia gani hapa? Sana sana wangetoa tu hizo namba za simu na kuomba taarifa zaidi toka kwa wanachi na kusema wanaendelea na kazi waliyopewa.
 
Wazee Tulizeni Boli Ndio Kazi Imeanza Hivi Unafahamu Kwanini Mawaziri Wa Mambo Ya Ndani Sehemu Mbalimbali Duniani Wanasema Jamani Hee Wale Wote Wenye Silaha Za Kutumia Ruisasi Za Moto "wanaombwa Wazisalimshe Kwenye Vituo Vya Polisi Kuanzi Tarehe Fulani Hadi .....tunawahakikishia Hatuta Wafungulia Mashtaka. Hii Inaitwa Kipindi Cha Dirishani Yaani Window Period. Maana Yake Kama Kuna Moto Sio Ulazmishe Kupita Mlangoni. Mara Nyingi Kesi Kwa Kipindi Hiki Cha Mwazo Zinzsababishwa Ushahidi Kukimbizwa Hofu Kuzidi Pia Hatutaki Kuwapoteza Mashahidi Kwa Shinikizo La Damu. Tuwe Nao Tuwapende Watubu Kwa Hiari Tusonge Mbele.hii Tanzania Unayoombea Kila Siku Iko Njiani Usihofu Vitukuu Vyetu Watafikia Hapo.aslimia Zaidi Ya 95 Kwa Hisia Zangu Tulikaa Mkao Wa Wapi Tutapata Deal Tujikwamue Na Umasikini Na Aina Ya Madeal Ndiyo Hayo Hayo Wenzetu Wametuwahi. Sasa Tuamue Kuanda Kizazi Cha Kuishi Kwa Maadili Lakini Sio Hichi Kizazi Chetu Kilicho Jaa Mapungufu Ambayo Sio Nia Yetu Kuwa Nayo

kipindi cha dirishani kilishapita siku nyingi sana, Kikwete alipoingia madarakani alitoa muda kwa watu kujisafisha hata akaanza kutoa semina kule ...... miaka mitatu hii sasa inaenda kupita na naona kipindi cha dirishani kinageuka kuwa mlangoni sasa!
 
Mkuu heshima kwako, vizuri tuna freedom of speech hapa JF. Naheshimu mtizamo wako, lakini naomba uniruhusu niwe na maoni tofauti. Kama wewe unaamini kuwa kuna watu walikopa kwa nia njema kupitia EPA, ni vizuri ukiweka wazi tujue kama EPA ilikuwa na mission nyingine ya kukopesha watu wa ndani kisirisiri na sio External Payment Areas. Naamini wewe unajua majina yaliyotajwa kwenye ripoti ya BOT a.k.a EPA, na ukawa hata na nguvu ya kusifu kuwa anafuata sheria, i wonder kama kuna yoyote amefikishwa kwenye mkono wa sheria ili mahakama ithibitishe ukweli. Sasa unaposema anafuata sheria sijui ni sheria ipi mpaka sasa imetumika kwa hao watu, ingekuwa ni vizuri kama ungeeleza wazi.

..bongo,

..huyu jamaa ni hopeless kabisa,bora ujikalie kimya tu! watu kama hawa wananikumbusha yule msemaji wa polisi ya kenya.

..hii kazi aliyotumwa haiwezi na anawatia aibu waliomtuma! they can get a better one than this one!

..that's what i'm seeing, i could be blind!
 
Warudishe feza kwanza halafu kama kuna kesi hilo ni baadae ,lakini ukishaweka kesi basi wataona bora wafie jela na kizazi chao kitarisi feza walioiacha.
 
Back
Top Bottom