Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
Habari zenu Wakuu,
Nafikiri tuwe Serious kidogo kama tumedhamiria kupambana na Rushwa. Ili Rushwa iondoke lazima mmoja kati ya Mla Rushwa na Mtoa Rushwa mmoja wapo ndiye apewe adhabu huku mwingine akiachwa salama. Hii itasaidia Kwa kiwango kikubwa kukabiliana na tatizo la Rushwa.
Huwezi kupambana na Rushwa kwa sheria inayosema Mla Rushwa na mtoa Rushwa wote ni Wakosaji. Hapo automatically umeshawapa jinsi ya kujihami, na kujilinda, pia umewapa umoja ambao kwao ni nguvu.
Ni lazima Kanuni ya Divide and Rule itumike pia kwenye jambo hili ili kulilidhibiti. Kumfanya mmoja kuwa mhanga huku mwingine kuwa mkosaji ni kuwagawanya na kuwafanya wasiwe wamoja. Hii ni rahisi kudhibiti Rushwa.
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Nafikiri tuwe Serious kidogo kama tumedhamiria kupambana na Rushwa. Ili Rushwa iondoke lazima mmoja kati ya Mla Rushwa na Mtoa Rushwa mmoja wapo ndiye apewe adhabu huku mwingine akiachwa salama. Hii itasaidia Kwa kiwango kikubwa kukabiliana na tatizo la Rushwa.
Huwezi kupambana na Rushwa kwa sheria inayosema Mla Rushwa na mtoa Rushwa wote ni Wakosaji. Hapo automatically umeshawapa jinsi ya kujihami, na kujilinda, pia umewapa umoja ambao kwao ni nguvu.
Ni lazima Kanuni ya Divide and Rule itumike pia kwenye jambo hili ili kulilidhibiti. Kumfanya mmoja kuwa mhanga huku mwingine kuwa mkosaji ni kuwagawanya na kuwafanya wasiwe wamoja. Hii ni rahisi kudhibiti Rushwa.
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.