BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Nikiwa mmoja wa wapenzi wa klabu yetu maarufu dya
nimeona si haba kuwekana sawa wapenzi wa klabu sasa timu inapoelekea ni aibu..yawwezekana ushindi wa sima umeigharimu hapa ilipo ama ni wachezaji vichaa vyao vimejaa upupu kukamata maelekezo ya kocha wao...yaani bado najiuliza maana kama ni hela ni majuzi wamegawana milion 50
sasa sijui walitaka wapewe na ma bibi???
enyi wachezaji embu penden mpira kama nguzo ya maisha yenu...ndio maana leo zamoyoni na wengineo wanakula matunda ya uchezaji wao kwa sababu waliupenda mpira na si just fedha...
kunaitajika marekebisho mapema kabla dhahama aijatutokea wana yanga na hili kama tutalikalia kimya tunaweza pishana na mvua ya mawe....
YANGA IMARA DAIMA
nimeona si haba kuwekana sawa wapenzi wa klabu sasa timu inapoelekea ni aibu..yawwezekana ushindi wa sima umeigharimu hapa ilipo ama ni wachezaji vichaa vyao vimejaa upupu kukamata maelekezo ya kocha wao...yaani bado najiuliza maana kama ni hela ni majuzi wamegawana milion 50
sasa sijui walitaka wapewe na ma bibi???
enyi wachezaji embu penden mpira kama nguzo ya maisha yenu...ndio maana leo zamoyoni na wengineo wanakula matunda ya uchezaji wao kwa sababu waliupenda mpira na si just fedha...
kunaitajika marekebisho mapema kabla dhahama aijatutokea wana yanga na hili kama tutalikalia kimya tunaweza pishana na mvua ya mawe....
YANGA IMARA DAIMA