Kwa kweli!Kichwa cha wenda wazimu!
Kaka punguza chuki kidogo kwa kaseja bado number moja na atakuwa number moja,kocha wa chad amesema kilichowazuia kushinda kwao ni goli kipa so punguza chuki kidogo,punguza ushabikiUnatakiwa uamuzi mgumu wa kumtimua kocha, ni kheri Maximo arudi, tunaweza kusonga mbele, huyu jamaa unachezesha kweli Machupa? with all the people? hii ni zarau kubwa saana kwa soka ya Tanzania.
Kingine wabongo tuache ushabiki wa vilabu, sasa nia lazima tukubali kuwa Kaseja ni mzigo kwa timu ya Taifa. Tazameni takwimu yake , kila akikaa langoni tunakunywa, sasa ni wakati muafaka tuafanye aliyofanya maximo, alikuwa hamuhitaji kabisaaaaaaaaaaaaa
Mbona bbc wamesema tumetolewa??? Which is which???