Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,138
- 14,558
Timu zilizoingia robo fainali kombe la CAF CC ni:
1)Asec Mimosa-Cote d'Ivore
2)Rivers United-Nigeria
3)Marumo Gallants-South Africa
4)Young Africans-Tanzania
5)AS Far Club-Morocco
6)Pyramids-Egypt
7)US Monastrienne-Tunisia
8)USM Alger-Algeria
Kuna timu nne za Juu ya Jangwa la Sahara na nne za chini ya Jangwa la Sahara
Je,ni nani ataangukia mikononi Mwa mabingwa wa kihistoria wa Tanzania!?
NB:
Rivers waombe wapishane na kikombe Cha Yanga,wakikipata ni lazima tulipe kisasi
1)Asec Mimosa-Cote d'Ivore
2)Rivers United-Nigeria
3)Marumo Gallants-South Africa
4)Young Africans-Tanzania
5)AS Far Club-Morocco
6)Pyramids-Egypt
7)US Monastrienne-Tunisia
8)USM Alger-Algeria
Kuna timu nne za Juu ya Jangwa la Sahara na nne za chini ya Jangwa la Sahara
Je,ni nani ataangukia mikononi Mwa mabingwa wa kihistoria wa Tanzania!?
NB:
Rivers waombe wapishane na kikombe Cha Yanga,wakikipata ni lazima tulipe kisasi