Sauti soul hawapoAsante mkuu, Vote mara nyingi uwezavyo, no limitation,
Alikiba Yupo peke yake kutokea Tanzania na East Africa,
Sipendi kutofautiana sana na mawazo yenu! Je mmewahi kujiuliza inakuwaje mtu uwezo wake mdogo lakini anashinda tuzo?Mkuu acha chuki kuwa mzalendo
mkuu ningekujibu vibaya ila nakuomba next time usinikoti kuniuliza ujinga plsUmevuta bangi leo?
HayumoKwani simba hayupo? Natamani kumpigia kura.
Acha uchocheziAcha nimpigie kura Ali kiba hapa sio yule anaejiita Simba niwaachie majangili kumwinda.
Watu kama wewe ndio mnahitajika uzalendo kwanza mengine baadaeHayupo mkuu, fata link wapo nominees mbalimbali ila usisahau kumpigia vote king.
Asante kwa kuipendaNimeipenda avatar....
HahahaView attachment 409231 Nishapiga kura..!
Olamide 4 [HASHTAG]#Mtvema[/HASHTAG]
Bado Sneh...
View attachment 409230
DaaahUna kumbuka hii post, ngojea nikuonyeshe ulivyochangia Shardcole huko chini ndio ulivyochangia je na wenzako wakufanya kama ww utajisikiaje, hujui sisi watz tumekuwa shaped na usimba na uyanga, nazani uliona mazembe walicheza na yanga, simba waliwasupport yanga, sasa nyinyi ndio mliozipalilia hizi timu, na ndio maana nilikuambia ww hustaili kufungua huu uzi kuhamsisha watu wampigie kura kutokana na UPUUZI na UPUMBAVU wako na najua watu wengi wa upande wa pili watampigia wizkid, kama nyinyi mlivyompigia, Kuna maswala tunatakiwa tuwe wa moja kama tunavyofanyaga big brother
View attachment 409099
Olamide anastahili hiyo TUZO Kamanda...Hahaha
Asee huyu jamaa ume mpromote kweli ngoja nimtupie kura na mimi