youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
- #181
we bangi kweli..........huyo hata hujui kama ni mke au mpenzia au mchumba..............kaulize ulikotoa mahari basi
dah aya bhana.
we bangi kweli..........huyo hata hujui kama ni mke au mpenzia au mchumba..............kaulize ulikotoa mahari basi
Kule atakimbizwa mpaka atalia,Peleka jukwaa la bongo movie. Tehe
Kule atakimbizwa mpaka atalia,
Labda apeleke Facebook