LOL!! People are very technical eeh!!! Hii mada sasa ndio inaleta point ya msingi na mafunzo yaliyokusudiwa. Congra Shaycas kwa case study nzuriHii niliikuta kwenye net.jamaa alipoteza/ibiwa mkoba na simu na namba ya mkewe aliisave "wife" aliyeokota/iba alikuta pamoja na kadi ya benk,hivyo alichokifanya alituma ujumbe mfupi kwa "wife" kwa kutumia simu ile aliyoiba kwamba anaomba amkumbushe namba za siri za ile kadi ya benki.
Mwanamke bila kusita akatuma namba na jamaa akajichukulia vijisenti kiulaini.
Kuwa macho
bahiliSiwezi kusave jina lake mimi kama mimi kinyakyusa nimemsave (SKAFUNJE )mnyakyusa anaelewa maana yake
eh maana yake nini tafadhariSiwezi kusave jina lake mimi kama mimi kinyakyusa nimemsave (SKAFUNJE )mnyakyusa anaelewa maana yake
bahili
Mimi namba zake zote zipo kichwani, so sihitaji kusave. Nilipata fundisho one niliibiwa simu wakamtumia msg wife eti nitumie elfu kumi kwenye simu. Mshikaji wangu naye aliibiwa hadi wallet wakachukua ATM wakamtumia mke wake msg eti nitumie password nimeisahau, wife akatuma wakakomba vijisenti vyote kwenye ATM.
Mimi namba zake zote zipo kichwani, so sihitaji kusave. Nilipata fundisho one niliibiwa simu wakamtumia msg wife eti nitumie elfu kumi kwenye simu. Mshikaji wangu naye aliibiwa hadi wallet wakachukua ATM wakamtumia mke wake msg eti nitumie password nimeisahau, wife akatuma wakakomba vijisenti vyote kwenye ATM.
Kwa sie wenye mashosti kuna hatari kama shiogako amekuwa akimmendea shem wake basi ah anaomba simu atume sms kwa ndugu yake kumbe anatafuta namba ya mr wako.
Kwa sie wenye mashosti kuna hatari kama shiogako amekuwa akimmendea shem wake basi ah anaomba simu atume sms kwa ndugu yake kumbe anatafuta namba ya mr wako.
Mmmhh!! Halafu anaanzaje kumtongoza mume wa shosti wake?
weeeee Masaki usijifanye hujui!!!! ataaanza tu oooh shem hivi shem vile. mara btw nimekumis shem wangu ....sijui ninii niniiii.......
Hahahaha!
Ndo mnavofanyagae?
Haya, TUENDELEE. At least nimeshajua si vibaya sana.