FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Mtu jina lake linaandikwa kama lilivyo tena na la baba yake kabisa kumtofautisha na wengine wenye jinakama hilo. Hakuna vyeo kwenye simu yangu, kwani ni simu ya shirika? Maswali ya mbona mbona sitaki, hivyo vyeo feki tuitane mdomoni
jamani wewe yaani mkeo unamsave kama Chiku Binti Athuman or ??