Mpenzi wako akifanya kama hivi utamuuliza? Utaanzaje kumuuliza?

Shughuli BASI...hiyo moja iko wapi kwanza.... Jibu ndio litafanya shughuli iendelee au lah! Usifanye mchezo na hiyo kitu bana...Kumegewa kunauma ati.
 
mi ningeshituka lkn ningemshukuru mungu kuona kuwa anajali kwa kutumia kinga.
hamu ya mapenzi ingenitoka lkn ningemuuliza inakuwaje zimepungua nimsikilize maana ukiisikiliza story unaanza kuwazia kuwa kucheat lkn anaweza kuwa alimgawia mtu.
cheusi mangala weeeeeeee!
 
kumbe wewe ndo humjui mtu anayeyajali maisha yako!!uyu mbona anajali sema tu analala na mwingine ila anaujua uthamani wa maisha,,,maana uaminifu katika r'ships nyingi kwa % kubwa ni zero kabisa

Huyu hajali kabisa..
Maana km imetumika moja,kuna uwezekano mkubwa jamaa lilianza na zana,zoezi lilpokolea,kuingia awamu ya 2,3,4 na kuendelea likapiga kavu...cha msingi hapo ni kuchukua tahadhali.km ukiendelea bazi hakikisha hizo mbili zikiisha na zoezi liishe...
 
Umeona ametoa mwenyewe alternate option............Oral, then kesho yake unaleta box zima tuone kama atamaliza sasa!
icon7.gif
icon7.gif
 
Mwanawane huna sababu ya kumuuliza,na wewe kanunue pakiti mpya na ufungue utoe kmbili alafu iweke ndani akiuliza nawe mwulize ile ya sikuile ilikwenda wapi?
 
Fikiria wewe umekwenda kwa mpenzi wako (awe wa kike au wa kiume). Mmeanza siku pamoja vyema kwa kwenda shopping na hata kupata chakula cha usiku kwenye mgahawa!

Saa imewadia mkarudi nyumbani ili kumega tunda na kupeana raha! Mkaanza michezo ya kimahaba mpaka wote mkawa teyari kwa tendo!

Unafungua droo ya kitanda kuchukua kondomu, unapigwa na butwaa kwani mara ya mwisho uliacha pakiti moja yenye kondomu 3 tena imefungwa (sealed); ila hapo unaikuta imefunguliwa na tena kondomu 1 imetumika zimebaki 2.

Tangu mkutane mara ya mwisho hamja kutana tena yapata kama wiki 2 hivi na hapo sasa ndiyo mmekutana! Unahisi kuna jamaa/demu anakutafunia mpenzi wako! Unaanza kuwa na mashaka kwamba mpenzi wako sio mwaminifu kwako! Unajiuliza maswali mengi bila majibu!

Ukikutwa na hali kama hiyo utafanyaje? Utasitisha zoezi la kula tunda ili umuulize kondomu 1 imeemda wapi? Ameitumia kwa nani? Utafanyaje kuzuia presha na hasira? Je, utaendelea na chezo?

Msaada unahitajika!

Kwanza hapo hata stimu zitapotea hata mshikaji atanisapoti kwa kulala chini haamki tena si unajua haya mambo ni ubngo zaid nikishaanza kufikiria hayo jamaa lazima atulie tuuuli no standing no more till things are resolved
 
"Nitamnunulia BOX zima akae nalo - kwa maana anajali"
Kama ni mie ningenyamaza wala nisingemuuliza kwa maana anajua kutembea peku ni kusababisha kifo katika familia. Ningemvalisha iliyobaki tuendelee na maisha then ningempongeza kwa kuwa anajali. Tuwe wa kweli sasa ili kuepuka maambukizo yasiyo ya lazima. Kwa nini umshangae bewana!! na hata Rais katuambia tupendane na kulindana na jeshi hilo ni Kondom?
 
zoezi linasitishwa mpaka ufafanuzi zaidi..
Japo najua unaumaaaaa....
 
bht umenifanya nicheke mpaka sina mbavu! ni kweli lakini alivyo-present hii issue as if bado wapo kitandani sasa anataka ajue kama aendelee au aache

si umeona shostito eeh
ulipotea na wewe (sore ofu topiki)
 
Wewe Pape hiyo condom moja umetumia mwenyewe. Cha kuiba kitamu, ungekuta jamaa kamaliza zote tatu.
 
Huyo ni mtu anayekupenda na kukujali sana na unatakiwa umpende zaidi na kumpongeza . Yeye angeweza kumega au kumegwa kavukavu na wewe ukazikuta condom zako ulizoacha ziko intact ukamsifia kwamba ni mwaminifu kumbe sio. Wewe endelea naye ila kumbuka kutumia condom mara zote
 
Lazima kusitisha zoezi mpaka kieleweke! Alaa!
...Hakuna kusitisha zoezi...si condom mbili zimebaki natumia hizo. Na wala sitamuuliza chochote vitu vingine unaweza kujipotezea handasi zako bure..
 
Back
Top Bottom