Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Shughuli BASI...hiyo moja iko wapi kwanza.... Jibu ndio litafanya shughuli iendelee au lah! Usifanye mchezo na hiyo kitu bana...Kumegewa kunauma ati.
cheusi mangala weeeeeeee!mi ningeshituka lkn ningemshukuru mungu kuona kuwa anajali kwa kutumia kinga.
hamu ya mapenzi ingenitoka lkn ningemuuliza inakuwaje zimepungua nimsikilize maana ukiisikiliza story unaanza kuwazia kuwa kucheat lkn anaweza kuwa alimgawia mtu.
punguza presure mkuu kama ni wewe yamekukuta,chochote chaweza kuwa ndivyocheusi mangala weeeeeeee!
Umeona ametoa mwenyewe alternate option............Oral, then kesho yake unaleta box zima tuone kama atamaliza sasa!punguza presure mkuu kama ni wewe yamekukuta,chochote chaweza kuwa ndivyo
kumbe wewe ndo humjui mtu anayeyajali maisha yako!!uyu mbona anajali sema tu analala na mwingine ila anaujua uthamani wa maisha,,,maana uaminifu katika r'ships nyingi kwa % kubwa ni zero kabisa
Umeona ametoa mwenyewe alternate option............Oral, then kesho yake unaleta box zima tuone kama atamaliza sasa!
Fikiria wewe umekwenda kwa mpenzi wako (awe wa kike au wa kiume). Mmeanza siku pamoja vyema kwa kwenda shopping na hata kupata chakula cha usiku kwenye mgahawa!
Saa imewadia mkarudi nyumbani ili kumega tunda na kupeana raha! Mkaanza michezo ya kimahaba mpaka wote mkawa teyari kwa tendo!
Unafungua droo ya kitanda kuchukua kondomu, unapigwa na butwaa kwani mara ya mwisho uliacha pakiti moja yenye kondomu 3 tena imefungwa (sealed); ila hapo unaikuta imefunguliwa na tena kondomu 1 imetumika zimebaki 2.
Tangu mkutane mara ya mwisho hamja kutana tena yapata kama wiki 2 hivi na hapo sasa ndiyo mmekutana! Unahisi kuna jamaa/demu anakutafunia mpenzi wako! Unaanza kuwa na mashaka kwamba mpenzi wako sio mwaminifu kwako! Unajiuliza maswali mengi bila majibu!
Ukikutwa na hali kama hiyo utafanyaje? Utasitisha zoezi la kula tunda ili umuulize kondomu 1 imeemda wapi? Ameitumia kwa nani? Utafanyaje kuzuia presha na hasira? Je, utaendelea na chezo?
Msaada unahitajika!
bht umenifanya nicheke mpaka sina mbavu! ni kweli lakini alivyo-present hii issue as if bado wapo kitandani sasa anataka ajue kama aendelee au aache
...Hakuna kusitisha zoezi...si condom mbili zimebaki natumia hizo. Na wala sitamuuliza chochote vitu vingine unaweza kujipotezea handasi zako bure..Lazima kusitisha zoezi mpaka kieleweke! Alaa!