Mpendwa Rais:Tunamtaka Afisa Mwandamizi Ngowi!

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
Kwako Mpendwa Rais,

Awali ya yote naomba nikupongeze kwa kuweza kukubali kutengenisha siasa na sheria hasa katika suala la EPA,umeweza kuwapa watanzania Raha ambapo wengine kama mimi na mwanakijiji tunaona kama raha ya muda tu na wengine kama zitto wanataka mwafaka wa taifa ila kumaliza matatizo yote yanayotukabili.

Sipendi kukosha na maneno mengi sababu najua una mambo mengi unataka kufanya kwa ajili yetu siye masikini tusioweza hata kupata mlo mmoja japo wapo wana majumba yana thamani ya bilioni tatu.

Najua utakuwa umepata ushauri mzuri toka kwa watu mbali mbali,ila mie naomba jambao moja utusaidie ili tuweze kusherkea sikuku ya uhuru vizuri.

Imetosha kuendelea na watu wa namna hii,kuwa afisa mwandamizi isiwe tija ya yeye kutofikishwa mahakamani.

Baba ,mwenyekiti ,mkulu Naomba na kukusihi sana mkuu amuru DPP amfungulie mashataka Afisa Mwandamizi Ngowi na hii ni kwa maslahi ya nchi yetu na kurudisha imani kwa wananchi.Mkuu naomba sana ufanye hili mapema na kwa kweli kabla hatujasherekea siku ya uhuru.

Naamini utasikia ombi langu na watu wote hapa chini kwa majina wameniunga mkono.Mkuu nakutakia kazi njema na mandalizi mema ya mapumziko yako ya mwaka.Najua mwaka huu hautaenda mbugani tena kama mwaka jana na utakuwa na mkaramba P mkipitia shida zetu wananchi na kuangalia jinsi ya kuzitatua kwa mwaka ujao

kama nimekukwaza naomba unisamehe sababu binadamu wote siyo wakamilifu na wana mapungufu yao

wako,

Gembe


 
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/9246-usalama-wa-taifa-mpo-likizo-10.html

ThisDay


BoT fraud: Revealed: Names of the company owners


THISDAY REPORTER
Dar es Salaam


AS more details emerge of the 22 companies fraudulently paid over 133bn/- from the Bank of Tanzania (BoT)’s external payment arrears account during 2005/06, so do the number of interesting links between key players in the scandal increase.

Following is a fresh compilation of full names of listed company directors, registration dates and physical addresses of the companies:

JEETU PATEL & OTHERS

A powerful group led by local business tycoon Jayantkumar Chandubhai Patel, better known as Jeetu Patel, is understood to have received the lion’s share of the EPA money. It has now been officially confirmed by THISDAY investigations that Jeetu Patel is the owner of a total of nine companies out of the 22 that benefited from the monumental scam.

The companies owned by Jeetu Patel are Navycut Tobacco (T) Limited, Ndovu Soaps Limited, Bina Resorts Limited, Bencon International Limited, Maltan Mining Company Limited, Bora Hotels & Apartments Limited, Venus Hotels Limited, B.V. Holdings Limited, and VB & Associates Company Limited.

With the exception of Ndovu Soaps, Maltan Mining and Navycut Tobacco which were registered in 1992, 1993 and 1995 respectively, the six other companies owned by the same person were all registered in April 2005 - just a few months before receiving the EPA money through the use of forged documents.

Jeetu Patel was also identified in a 1994 parliamentary committee investigation as one of the key architects of the infamous Debt Conversion Programme (DCP) funds misuse scam at the BoT - which was quite similar to the present-day EPA scandal.

He is also known to have enjoyed close connections with a number of senior officials in the third phase government under former president Benjamin Mkapa.

JOHN KYOMUHENDO & FRANCIS WILLIAM

Though listed as sole directors and shareholders of Kagoda Agriculture Limited, these two Dar es Salaam residents are widely believed to have been just pawns in the game, used by certain businessmen and senior government officials to skim close to $30.8m (approx. 40bn/-) from the EPA account.

Official records show that Kagoda Agriculture Ltd was officially registered in Dar es Salaam on September 29, 2005. The company’s registered office is listed as Kipawa Industrial area, Plot number 87, in Temeke District.

However, attempts by THISDAY to contact either of the two registered shareholders of the company, or even trace the company’s cited physical address, have proved completely futile.

The discovery of the illegal payments to Kagoda Agriculture Ltd in 2005/06, made by the BoT's former external auditors Delloite and Touche, now appears to have been the trigger that led to the unravelling of what has become arguably one of the country’s biggest-ever corruption scandals.

As previously reported by THISDAY, former BoT governor Daudi Ballali tried to cover up the illegal payments to Kagoda by firing the South African-headquartered audit company and feeding systematic lies to senior people in government, including Finance Minister Zakia Meghji, to the effect that the deal had been authorised by President Mkapa's government to finance covert national security operations.

Although the real faces behind Kagoda Agriculture Limited are yet to be formally exposed, there is little doubt that Kyomuhendo and William were just used by Ballali and other powerful individuals to conceal the real beneficiaries of the 40bn/- pay-out.

BEREDY SOSPETER MAREGESI

This prominent Dar es Salaam lawyer owns two companies linked to the EPA scandal - Maregesi Law Chambers and G&T International Limited.

Maregesi Law Chambers was formed in 2001 and its registered office was initially listed as Makoka Street in the city’s Ubungo Kibangu suburb, but later shifted to AMI House at the junction of Samora and Mkwepu Streets in Dar es Salaam.

On the other hand, G&T International Limited was registered in 2004, with Maregesi (4,000 shares) and Octavio Timoth (8,000 shares) named as sole company directors and shareholders. The company is located on the 2nd floor of the same AMI building within the city centre.

Well-placed sources have described Maregesi as one of the key figures in the ongoing state investigation into the faces behind the EPA funds embezzlement.

Apart from his direct links to the two named companies, the prominent advocate is also understood to possibly hold ’sensitive’ information about payments made to other companies, including the identities of the real beneficiaries from Kagoda Agriculture’s hefty 40bn/- payday.

JOHNSON LUKAZA

This Dar es Salaam businessman, whose full name is Johnson Mutachukurwa Lukaza, appears as one of the main shareholders in KERNEL Limited, another of the listed companies.

Also listed as a shareholder in the same company, whose registered office is on plot number 32, Ursino Street, Regent Estate in Dar es Salaam, is Mwesigwa Rutakyamilwa Lukaza - obviously a relative.

ELISIFA NGOWI

The name of Elisifa Ngowi, who is reported to be a senior state official, appears in the official registration records of two companies that benefited from the dubious EPA payments - Clayton Marketing Limited and Excellent Services Limited.

Clayton Marketing Ltd, which was registered in June 2005, lists Ngowi and Edwin Mtoi as sole company directors and shareholders. The company is located on Plot Number 707 along Mkwepu Street in Dar es Salaam's central business district.

Shareholders of Excellent Services Ltd, which was registered in 1992, are Ngowi, Emily Samanya, Peter Sabas, Lecis Msiko and Massimo Faneli. The company's registered office is on plot number 11649 along Sokoine Drive, also in downtown Dar es Salaam.

CHARIES ISAACK KISSA & OTHERS

Charies Isaack Kissa is listed as the owner of Kiloloma and Brothers Limited, another listed company. Kiloloma company is in turn linked with another firm that also benefited from the EPA windfall, Money Planners & Consultants Limited, with official records showing that the two companies share the same physical address - Iramba Street, House Number 7, in Magomeni, Dar es Salaam.

Apart from sharing the same office, both companies were registered in 2005, within a few weeks of each other. Money Planners & Consultants was registered on March 22, while Kiloloma got its registration on April 8. Later that same year, the two companies were paid huge amounts of money from the EPA account in dubious circumstances.

Records list Paul Thobias Nyingo and Fundi Hayesh Kitunga as the owners of Money Planners & Consultants.

THE LEMA FAMILY

The Lema family of Moshi/Arusha is linked to at least two companies on the list - Njake Enterprises Limited (registered in 1984) and Njake Hotels and Tours Limited (registered in 2003).

Listed owners of Njake Enterprises Ltd are Japhet Laiyandumi Lema, Anna Japhet Lema and Laiyandumi Njake Lema. The company's registered office is on plot number 88 at Block DD in Moshi, Kilimanjaro Region.

On other hand, Japhet Laiyandumi Lema, Anna Japhet Lema, Abel Japhet Lema, Derick Japhet Lema and Bernard Japhet Lema appear as shareholders of Njake Hotels and Tours Ltd, which is located along Dodoma Road in the Majengo area of Arusha.

OTHERS ON THE LIST

Also in the same list of 22 companies that benefited from the EPA scam is Changanyikeni Residential Complex Limited, whose listed owners are Jose van Der Merwe, Samson Mapunda and Charles Mabina. Registered in 2003, this company is located on Plot Number 397 at Sinza Kumekucha in Dar es Salaam.

Records of another company, Mibale Farm, name Kizza Selemani and Farijala Hussein as its owners and September 2005 as its registration date.
 
Last edited by a moderator:
Natumahi ujumbe utamfikia... Wapambe wake wamo humu kibao
Mkuu Lyampinga,

Mkulu anapata sana ujumbe ila hii ni special Request and we need at this time only and not next year.Sitaki yaje yale mambo kama ya kina Yona,watu tulishasahau ndiyo watu wanawajibishwa!

 



Najua utakuwa umepata ushauri mzuri toka kwa watu mbali mbali,ila mie naomba jambao moja utusaidie ili tuweze kusherkea sikuku ya uhuru vizuri.
Imetosha kuendelea na watu wa namna hii,kuwa fisa mwandamizi isiwe tija ya yeye kutofikishwa mahakamani.

Baba ,mwenyekiti ,mkulu Naomba na kukusihi sana mkuu amuru DPP amfungulie mashataka Afisa Mwandamizi Ngowi na hii ni kwa maslahi ya nchi yetu na kurudisha imani kwa wananchi.Mkuu naomba sana ufanye hili mapema na kwa kweli kabla hatujasherekea siku ya uhuru.



Mkuu Gembe nadhani waliokaribu nae wamesikia na watamweleza maana ya sherehe za uhuru ni nini. Nadhani uhuru wa Tanzania mwak 2008, ni kuendeleza harakati za kukata minyororo ya utumwa iliyofungwa na wezi wa mali za umma
 
Mkuu Lyampinga,

Mkulu anapata sana ujumbe ila hii ni special Request and we need at this time only and not next year.Sitaki yaje yale mambo kama ya kina Yona,watu tulishasahau ndiyo watu wanawajibishwa!


Viongozi wetu jinsi walivyo, wanaweza kukwambia usimfundishe kazi
 
Kwanini mnamuomba Gowi peke yake?? Nadhani kama Lukaza kapandishwa kizimbani hata Maregesi anastahili pia!! Mimi namuomba mkulu atakapopangua wawakilishi wake mikoani aturudishie yule mama Mkuu wetu wa mkoa wa Iringa aliyekwenda kutibiwa, tunaambiwa yupo hapo Tamisemi anakaa tuu{ what a waste] alitufaa sana kimaendeleo huku kwetu; wapambe tupelekeeni salaam hizi kwa Mkuu.
 
=Gembe;334074]Kwako Mpendwa Jakaya,

Awali ya yote naomba nikupongeze kwa kuweza kukubali kutengenisha siasa na sheria hasa katika suala la EPA,umeweza kuwapa watanzania Raha ambapo wengine kama mimi na mwanakijiji tunaona kama raha ya muda tu na wengine kama zitto wanataka mwafaka wa taifa ila kumaliza matatizo yote yanayotukabili.

Sipendi kukosha na maneno mengi sababu najua una mambo mengi unataka kufanya kwa ajili yetu siye masikini tusioweza hata kupata mlo mmoja japo wapo wana majumba yana thamani ya bilioni tatu.

Najua utakuwa umepata ushauri mzuri toka kwa watu mbali mbali,ila mie naomba jambao moja utusaidie ili tuweze kusherkea sikuku ya uhuru vizuri.

Imetosha kuendelea na watu wa namna hii,kuwa fisa mwandamizi isiwe tija ya yeye kutofikishwa mahakamani.

Baba ,mwenyekiti ,mkulu Naomba na kukusihi sana mkuu amuru DPP amfungulie mashataka Afisa Mwandamizi Ngowi na hii ni kwa maslahi ya nchi yetu na kurudisha imani kwa wananchi.Mkuu naomba sana ufanye hili mapema na kwa kweli kabla hatujasherekea siku ya uhuru.

Naamini utasikia ombi langu na watu wote hapa chini kwa majina wameniunga mkono.Mkuu nakutakia kazi njema na mandalizi mema ya mapumziko yako ya mwaka.Najua mwaka huu hautaenda mbugani tena kama mwaka jana na utakuwa na mkaramba P mkipitia shida zetu wananchi na kuangalia jinsi ya kuzitatua kwa mwaka ujao

kama nimekukwaza naomba unisamehe sababu binadamu wote siyo wakamilifu na wana mapungufu yao

wako,

Gembe
Endorsed,

Mkulu hatukufundishi kazi bali tunataka utende kazi yako...inawezekana vijisafari vikawa vinakubana wewe kuweza kupitia mwenyewe mafaili ya EPA .

Shadow
 
wanaua maalbino ili wapate ubunge na uwaziri, leo wanajifanya kuwakataza wachimba madini. waanze kukamatwa wabunge kwanza ndio vita hii itakwisha. na kama hili haliwezekani, na haya ya EPA ni wizi mtupu.....
 
Kwanini mnamuomba Gowi peke yake?? Nadhani kama Lukaza kapandishwa kizimbani hata Maregesi anastahili pia!! Mimi namuomba mkulu atakapopangua wawakilishi wake mikoani aturudishie yule mama Mkuu wetu wa mkoa wa Iringa aliyekwenda kutibiwa, tunaambiwa yupo hapo Tamisemi anakaa tuu{ what a waste] alitufaa sana kimaendeleo huku kwetu; wapambe tupelekeeni salaam hizi kwa Mkuu.

Mku Bulesi,

Ngowi ni mtu muhimu sana zaidi hata ya maregesi tho hata Maregesi tunamtaka.Ngowi tu kwa sasa
 
Mkuu Gembe, kwa taarifa nilizonazo Maregesi ni muhimu sana kuliko Ngowi katika sakata la EPA na ndio maana wanasita kumpandisha; siku ukisikia kapanda ujue ngoma itakuwa imeanza kunoga kwani hapo tutajua hata ambavyohawakutaka tujue!!
 
Kwako Mpendwa Rais,

Awali ya yote naomba nikupongeze kwa kuweza kukubali kutengenisha siasa na sheria hasa katika suala la EPA,umeweza kuwapa watanzania Raha ambapo wengine kama mimi na mwanakijiji tunaona kama raha ya muda tu na wengine kama zitto wanataka mwafaka wa taifa ila kumaliza matatizo yote yanayotukabili.

Sipendi kukosha na maneno mengi sababu najua una mambo mengi unataka kufanya kwa ajili yetu siye masikini tusioweza hata kupata mlo mmoja japo wapo wana majumba yana thamani ya bilioni tatu.

Najua utakuwa umepata ushauri mzuri toka kwa watu mbali mbali,ila mie naomba jambao moja utusaidie ili tuweze kusherkea sikuku ya uhuru vizuri.

Imetosha kuendelea na watu wa namna hii,kuwa afisa mwandamizi isiwe tija ya yeye kutofikishwa mahakamani.

Baba ,mwenyekiti ,mkulu Naomba na kukusihi sana mkuu amuru DPP amfungulie mashataka Afisa Mwandamizi Ngowi na hii ni kwa maslahi ya nchi yetu na kurudisha imani kwa wananchi.Mkuu naomba sana ufanye hili mapema na kwa kweli kabla hatujasherekea siku ya uhuru.

Naamini utasikia ombi langu na watu wote hapa chini kwa majina wameniunga mkono.Mkuu nakutakia kazi njema na mandalizi mema ya mapumziko yako ya mwaka.Najua mwaka huu hautaenda mbugani tena kama mwaka jana na utakuwa na mkaramba P mkipitia shida zetu wananchi na kuangalia jinsi ya kuzitatua kwa mwaka ujao

kama nimekukwaza naomba unisamehe sababu binadamu wote siyo wakamilifu na wana mapungufu yao

wako,

Gembe




.....i know these dude....sasa ukiambiwa kuwa alijiunga na mafisadi kama intelligence strategy ya kujuwa mienendo yao??...
 
Bulesi that dude of yours akazidiwa akili na hao wabaka uchumi na yeye akazama katika kuvuna mavuno haramu!!
 
.....i know these dude....sasa ukiambiwa kuwa alijiunga na mafisadi kama intelligence strategy ya kujuwa mienendo yao??...

Hawawezi kuja na mkakati huo:

a. Huwezi kujiunga na mafisadi ukitumia jina lako halisi
b. Hiyo haikuwa biashara yake ya kwanza, nyingine imeanza 1992
c. Hela aliyoipata kutoka EPA haikupelekwa serikalini/hazina au akaunti maalumu
d. x,y

Mwache ajaribu tu mkakati huo atawazuga kina RO!
 
Hawawezi kuja na mkakati huo:

a. Huwezi kujiunga na mafisadi ukitumia jina lako halisi
b. Hiyo haikuwa biashara yake ya kwanza, nyingine imeanza 1992
c. Hela aliyoipata kutoka EPA haikupelekwa serikalini/hazina au akaunti maalumu
d. x,y

Mwache ajaribu tu mkakati huo atawazuga kina RO!


Mie siko tayari kuzugwa hata kwa dwa.Kama alichukua pesa hiyo kwa maslahi ya nchi yetu basi atuambie iliwekwa katika akaunti ipi?

Majukumu ya ofisi ya UWT ni kama yafuato.Ila hawayafanyi ipasavyo na ndiyo maana nasema tunamtaka Huyu kwanza sababu alishindwa kufanya yale anayotakiwa kufanya

(a) to obtain, correlate, and evaluate intelligence relevant to security,and to communicate any such intelligence to the Minister and topersons whom, and in the manner which, the Director-Generalconsiders it to be in the interests of security;

(b) to advise Ministers, where the Director-General is satisfied thatit is necessary to do so, in respect of matters -relevant to security,so far as those matters relate to departments or portfolios ofwhich they are in charge;

(c) to cooperate as far as practicable and necessary with such otherorgans of state and public authorities within or outside Tanzaniaas are capable of assisting the Service in the performance of itsfunctions.

(d) to inform the President, and any other person or authority whichthe Minister may so direct, of any new area of potential espionage,sabotage, terrorism or subversion in respect of which the Director General has considered it necessary to institute surveillance.
 
wanaua maalbino ili wapate ubunge na uwaziri, leo wanajifanya kuwakataza wachimba madini. waanze kukamatwa wabunge kwanza ndio vita hii itakwisha. na kama hili haliwezekani, na haya ya EPA ni wizi mtupu.....

kwani huyo mganga wao ni nani ni yule pale mbezi kwenye gorofa ambalo halijaisha??? MHHHH wakubwa mnavituko mmeanza kuabudu miungu mingine ndo maana nchi haiendelei tubuni basi maana mtashushwa chini na watu watawadharau rarueni mavazi yenu mkali kwa kelele za uchungu mHHHH! mi sipo
 
Ofisi ya mkurugenzi wa UWT

Asante, Mkuu Gembe kwa kunifahamisha.
Lakini bado kuna machache siyaelewi:

1. Ana cheo gani katika ofisi hiyo.

2. UWT ndiyo nini? Umoja wa Wanawake au Usalama wa Taifa (nakisia tu)?

Shukurani kwa kunivumilia.
 
Phillemon Mikael said:
.....i know these dude....sasa ukiambiwa kuwa alijiunga na mafisadi kama intelligence strategy ya kujuwa mienendo yao??...

Intelligence strategy??? Ndio afanye kweli kukwapua???
 
Back
Top Bottom