Nimeona taarifa ya habar leo asubuhi kuhusu huyu mgombea ubunge aliyechezeshwa zengwe na CHAMA CHA MAJUHA (ccem). Sasa nikaanza kutabasamu...
1. Kesi zitaanza kumiminika mahakamani kwa wagombea waliochakachuliwa majimbo. Safi sana, mwisho wa sku tutaongeza majimbo ya upinzani bungeni....CHADEMA OYEEE
2. Wanasheria vijana wapo mtaani, ajira bnafs imepamba moto. Kaz ni kujianzishia kampun ya advocate na kuibana hii serkali dhalimu ya mambumbumbu,mafsadi!
Ifkapo mwaka 2015, kupanuka kwa elimu ya juu na kuongezeka kwa wasomi, CCM IMEJICHMBIA KABURI.
1. Kesi zitaanza kumiminika mahakamani kwa wagombea waliochakachuliwa majimbo. Safi sana, mwisho wa sku tutaongeza majimbo ya upinzani bungeni....CHADEMA OYEEE
2. Wanasheria vijana wapo mtaani, ajira bnafs imepamba moto. Kaz ni kujianzishia kampun ya advocate na kuibana hii serkali dhalimu ya mambumbumbu,mafsadi!
Ifkapo mwaka 2015, kupanuka kwa elimu ya juu na kuongezeka kwa wasomi, CCM IMEJICHMBIA KABURI.