HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,935
Baada ya kuonesha 'jeuri' ya pesa siku ya kutangaza nia, sasa Lowassa anakutana na wafanyabiashara wakubwa toka Kanda ya Kaskazini kwa lengo la kukusanya pesa. Mkutano unafanyika katika Hotel ya Kibo Palace, Arusha na kwa taarifa zilizopataika ni kwamba tayari kiasi cha Shilingi bilioni 9 zimeshaahidiwa na wafanyabishara hao. Bado Ikulu ni mahali patakatifu?