GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
hello g.t,
Huu ni mwezi wa tano sasa umepita, mpangaji wangu hataki kunilipa,nimempa notice, lakini bado anaendelea kukaa,nimejaribu kufatilia sheria inasemaje, kuna watu wameniambia niende mahakamani, kuna wengine wameniambia sitakiwi kwenda mahakamani, naweza kumtoa kwa nguvu, au kutumia madalali tu. msaada wenu wana jf, kama kuna watu wana jibu sahihi watuelimishe
Huu ni mwezi wa tano sasa umepita, mpangaji wangu hataki kunilipa,nimempa notice, lakini bado anaendelea kukaa,nimejaribu kufatilia sheria inasemaje, kuna watu wameniambia niende mahakamani, kuna wengine wameniambia sitakiwi kwenda mahakamani, naweza kumtoa kwa nguvu, au kutumia madalali tu. msaada wenu wana jf, kama kuna watu wana jibu sahihi watuelimishe