BASHADA
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 513
- 148
Mimi naomba tuwape MDAHALO, hakuna kuingia mitini
Mkuu hapo unatoa pendekezo ambalo magamba hayatakubali kutekeleza.
Mimi naomba tuwape MDAHALO, hakuna kuingia mitini
viongozi wa cdm wana ridhaa ya wananchi,viongozi wa ccm hawakupata hata kura 10 maneno ya RAZA kada wa ccm sio mimi
mkuu hapo ni sawa kumlinganisha Shibuda na Obama.
kafanya mengi ya nchi!...emu tufafanulie,maana kuna weza kukawa na mengi mabaya au mengi mazuri,Naomba unitajie mengi mazuri aliyoyafanya ambayo ni manufa kwa wananch hasa wenye maisha duni ambao ndio tuko wengiMimi naona Kikwete ni bora kuliko Mbowe
Kwasababu zifuatazo:-
1. Kwa hali halisi wala sio ushabiki kikwete amefanya mambo mengi ya nchi kuliko Mbowe.
kafanya mengi ya nchi!...emu tufafanulie,maana kuna weza kukawa na mengi mabaya au mengi mazuri,Naomba unitajie mengi mazuri aliyoyafanya ambayo ni manufa kwa wananch hasa wenye maisha duni ambao ndio tuko wengi
Hapo ni sawa na kulinganisha shetani na malaika!