JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Huu ni mjadala ambao ulihusisha wanazuoni mbalimbali wa Afrika Mashariki, lakini hoja za Steven Wassira na Tundu Lissu ndizo zilizosababisha cheche ktk mjadala huo.
Wanzuoni walioshiriki mdahalo huo ni pamoja na Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga, Mh.Zitto Kabwe, Dr.Ahmed Yassin, Bi.Benadheta Kafuko, Bi.Fatma Karume, Fr.Kitima, Mzee Steven Wassira, na Tundu Lissu.
Maelezo ya Mzee Wassira yanaanzia ktk dakika ya 3:14. maelezo ya Lissu ni kuanzia saa 1:26:26 ktk link hapo chini.
Wanzuoni walioshiriki mdahalo huo ni pamoja na Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga, Mh.Zitto Kabwe, Dr.Ahmed Yassin, Bi.Benadheta Kafuko, Bi.Fatma Karume, Fr.Kitima, Mzee Steven Wassira, na Tundu Lissu.
Maelezo ya Mzee Wassira yanaanzia ktk dakika ya 3:14. maelezo ya Lissu ni kuanzia saa 1:26:26 ktk link hapo chini.