Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Kama si upinzani mgepataje magufuri kutoka mtandao wa kijambazi wa ccm? Tatizo reasoning capacity, nothing else!
kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa ccm.
ccm hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya ccm mchana usiku wapo upande mwingi yale makapi yaliobaki yanaondolewa yoote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi.
na tunamuomba mungu magufuli aende mwendo huo huo.
Hii ni ishara tosha kuwa unaangukia upande wa wasomi uchwara. Kumbe hujui hata hulka ya binadamu, tutakusaidiaje sasakwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa ccm.
ccm hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya ccm mchana usiku wapo upande mwingi yale makapi yaliobaki yanaondolewa yoote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi.
na tunamuomba mungu magufuli aende mwendo huo huo.
Mleta uzi huwajui vizuri wanadam. ...Libya ilikuwa kama peponi unakumbuka walichomfanyia Gaddafi.?
Unaweza kushangaa ?cm ikaanguka
Utafiti wangu 2017 magufuri atahamia upinzan kwa kosa la kuvunja ilani ya CCM
kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa ccm.
ccm hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya ccm mchana usiku wapo upande mwingi yale makapi yaliobaki yanaondolewa yoote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi.
na tunamuomba mungu magufuli aende mwendo huo huo.
Kwanini selekali ya ccm imeshindwa kuivunja mikataba hiyo?unaizungumzia escrow mbona huizungumzii richmond na capacity chage ya umeme ambayo inatutafuna watanzania mpaka leo
kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa ccm.
ccm hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya ccm mchana usiku wapo upande mwingi yale makapi yaliobaki yanaondolewa yoote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi.
na tunamuomba mungu magufuli aende mwendo huo huo.
kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa ccm.
ccm hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya ccm mchana usiku wapo upande mwingi yale makapi yaliobaki yanaondolewa yoote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi.
na tunamuomba mungu magufuli aende mwendo huo huo.
kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa ccm.
ccm hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya ccm mchana usiku wapo upande mwingi yale makapi yaliobaki yanaondolewa yoote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi.
na tunamuomba mungu magufuli aende mwendo huo huo.
Haiwezekani hata kidogo,huo utafiti wako wa chini ya mti peleka kwenu Lumumba.
kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa ccm.
ccm hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya ccm mchana usiku wapo upande mwingi yale makapi yaliobaki yanaondolewa yoote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi.
na tunamuomba mungu magufuli aende mwendo huo huo.