Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,177
Hapa hatuzungumzii kusoma au kutosoma ukikosa hivi vitu kimoja wapo mpaka miaka 45 au chini ya 60 wewe msindikizaji tu
1- HUNA NYUMBA YA KUISHI (KIUFUPI MPANGAJI)
AU HATA KULIPIA KODI UMESHINDWA WEWE UNASINDIKIZA TU WENZIO KWENYE MAISHA NI KENGE KATIKATI YA MAMBA
2 - HUJAOA
Unapofika miaka 45 hapa unahesabiwa ni mtu mzima, na katika jamii yetu utategemewa pia kutoa ushauri kwa vijana hasa lile kundi rika (miaka 16-25). Sasa umri huo Huna ndoa hufai kupokea ushauri wako
3 -HUNA USAFIRI ( CHOMBO CHA MOTO)
Mpaka unafika huu umri huna chombo chako cha usafiri wewe unasindikiza kiukweli. Unapofika miaka 45 au zaidi nguvu zinaanza kupungua ni muhimu upate kausafiri
4- HUNA MTOTO
Kuwa na mtoto au watoto ni muendelezo wa kizazi chako na ukiwajengea misingi mizuri wanakuwa msaada pale utakapokosa kabisa nguvu za kujisimamia mwenyewe (Uzee). Muhimu uwe nao ila kama ni tatizo la kiafya wewe hata kwa Mungu huna kosa miaka 65 huna hata kajukuu daaah wewe msindikizaji kiukweli
5-HUNA KAZI MAALUMU/KUDUMU
Unapokosa kazi ya kudumu au muendelezo wa kipato chako kiukweli mwisho wako ni mbaya sana,
Hapa huna visingizio kwamba hukusoma au hukuwa na bahati bali ni wewe mwenyewe hujatulia katika utafutaji wako
6-UNA MADENI MENGI
Kuna watu wanajua kukopa sana yeye bila kudaiwa maisha hayaendi,inapofika umri huu jitahidi kuacha tabia za ujanja ujanja ni mtu mzima tayari
7-TUENDELEZE WANAOSINDIKIZA WENZAO KATIKA MAISHA MPAKA MIAKA 60 HANA LOLOTE
1- HUNA NYUMBA YA KUISHI (KIUFUPI MPANGAJI)
AU HATA KULIPIA KODI UMESHINDWA WEWE UNASINDIKIZA TU WENZIO KWENYE MAISHA NI KENGE KATIKATI YA MAMBA
2 - HUJAOA
Unapofika miaka 45 hapa unahesabiwa ni mtu mzima, na katika jamii yetu utategemewa pia kutoa ushauri kwa vijana hasa lile kundi rika (miaka 16-25). Sasa umri huo Huna ndoa hufai kupokea ushauri wako
3 -HUNA USAFIRI ( CHOMBO CHA MOTO)
Mpaka unafika huu umri huna chombo chako cha usafiri wewe unasindikiza kiukweli. Unapofika miaka 45 au zaidi nguvu zinaanza kupungua ni muhimu upate kausafiri
4- HUNA MTOTO
Kuwa na mtoto au watoto ni muendelezo wa kizazi chako na ukiwajengea misingi mizuri wanakuwa msaada pale utakapokosa kabisa nguvu za kujisimamia mwenyewe (Uzee). Muhimu uwe nao ila kama ni tatizo la kiafya wewe hata kwa Mungu huna kosa miaka 65 huna hata kajukuu daaah wewe msindikizaji kiukweli
5-HUNA KAZI MAALUMU/KUDUMU
Unapokosa kazi ya kudumu au muendelezo wa kipato chako kiukweli mwisho wako ni mbaya sana,
Hapa huna visingizio kwamba hukusoma au hukuwa na bahati bali ni wewe mwenyewe hujatulia katika utafutaji wako
6-UNA MADENI MENGI
Kuna watu wanajua kukopa sana yeye bila kudaiwa maisha hayaendi,inapofika umri huu jitahidi kuacha tabia za ujanja ujanja ni mtu mzima tayari
7-TUENDELEZE WANAOSINDIKIZA WENZAO KATIKA MAISHA MPAKA MIAKA 60 HANA LOLOTE