MP Lema with Arusha Development Fund

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
1,222
764
Kwa Mh Lema.
Nafahamu kuna mfuko unaoitwa Arusha Development Fund ulioanzishwa jijini Arusha kwa lengo la kuchochea kasi ya maendeleo mjini hapa. Ni wazo zuri sana. Sijajua ni maeneo gani zaidi mfuko huu umejikita kwenye kuleta maendeleo ila mambo ya msingi naamini yatakuwa yamezingatiwa kama vile Afya, Elimu na Ajira. Nataka kutoa mchango wangu katika muundo wa mfuko huu ili uweze kuwa na credibility ya kutosha.

Kwa kawaida kazi kubwa ya mifuko kama hii ni kutafuta pesa toka kwa wadau na wahisani mbali mbali either kwa direct approach, get together, gala dinners na njia nyingine nyingi. Lakini hapa kuna issue moja tu kumuomba mdau akuchangie fedha ili ukazitumie kwa lengo la kuleta maendeleo ya watu wengi. Hivyo basi tool kubwa ni credibility ambayo nataka kumshauri Mh Lema aangalie muundo wa ADF kama watendaji wake wana credibility ya kutosha kwasababu hiyo tool ndiyo itakayo tunisha mfuko kwa maendeleo ya mji wetu.

Ushauri - Tunafahamu baadhi ya watu ndani ya nchi ambao ni wapenda maendeleo na wana credibility ya kutosha, basi ni vema mka approach watu kama hao na kuwaomba wakawa kwenye board of trustees and their core functions would be hosting events,raise funds and to ensure that ADF's policies are implemented and the goals are archieved.

Nimeshauri hivyo kwasababu nafahamu ADF ina vijana kama mimi wenye kupenda kuleta maendeleo ila bado na wao pia wanahangaika kutafuta maendeleo yao binafsi

Mungu ibariki ADF, Mungu bariki jiji letu la Arusha na Mungu endelea kumpa hekima Mbunge wetu.
 
double B ..nimekusoma vizuri kabisa ... ushauri na mchango mzuri sana huu zaidi hata ya fedha
 
Maendeleo ya mtu mmoja mmoja ndio maendeleo ya watu wa Arusha. Nikijenga shule, itapokewa watoto wa wanafamilia nyingi tuu. Wewe ukijenga zahanati itasaidia watu wengi tuu. Serikali inaposisitizwa ushirikishwaji wa Secta binafsi ina maana waipunguzie mzigo kwa kufanya baadhi ya shughuli za kuhudumia jamii zinazofanywa na serikali, hivyo mkuu usiogope kwamba vijana walioko ADF watajinufaisha wenyewe kwani na wao ni sehemu ya jamii inayotakiwa kuendelea.

Ushauri wa Credibility na Accountability ya watu watakaosimamia huo mfuko hivi ni vitu ambavyo vinatakiwa viwe kwenye Constitution ya mfuko
 
maendeleo ya mtu mmoja mmoja ndio maendeleo ya watu wa arusha. Nikijenga shule, itapokewa watoto wa wanafamilia nyingi tuu. Wewe ukijenga zahanati itasaidia watu wengi tuu. Serikali inaposisitizwa ushirikishwaji wa secta binafsi ina maana waipunguzie mzigo kwa kufanya baadhi ya shughuli za kuhudumia jamii zinazofanywa na serikali, hivyo mkuu usiogope kwamba vijana walioko adf watajinufaisha wenyewe kwani na wao ni sehemu ya jamii inayotakiwa kuendelea.

ushauri wa credibility na accountability ya watu watakaosimamia huo mfuko hivi ni vitu ambavyo vinatakiwa viwe kwenye constitution ya mfuko

are we serious?
 
are we serious?

Wewe unafikiri Nyerere alipotaifisha viwanda vya Wahindi na Wazungu na kumtoa mtu kwenye nyumba ya nyasi na kwenda kumfanya General Manager kwa mshahara kiduchu (SCOPO) alifanya vizuri? Kama ni ndiyo hivyo viwanda leo hii viko wapi? Huwezi kutenganisha maendeleo ya Taasisi yeyote na Watu wanaoisimamia
 
Huu ni ushairi wa msingi sana...ni kweli kuwa watu wengi tungependea kuchangia maendeleo ila tunapowaza hii mipapa na minyangumi tunaona bora turudishe sheheli zetu mfukoni.

Hii iko applicable hata kwenye kodi ninayokatwa kama PAYE....Mara nyingi siumii sana ninapoona kiasi kikubwa kinavyokwenda TRA ila kinachoniumiza ni pale ninapoona mijitu isiyokuwa accountable wala isyo na credibility inavyofisadi kodi yangu....kama ingekuwa inatumika vema wala nisingeona uchungu

Ushauri wa msingi ni wahusika wanaosimamia mfuko huu waelewe kuwa ni fedha za wananchi na zinapaswa kutumika kuleta maendeleo ya wananchi waliojidundulizia kupata maendeleo
 
Mfuko huu umeanza kupata tuhuma nzito za kutowepo 'transparency'.

Yapo madai kuwa mfuko huu unasaidia zaidi watu wa kabila moja. (90% ya waliofaidika hadi sasa ni Wachagga)

Yapo pia madai kuwa mfuko huu unaendeshwa kisiasa kwa maana kwamba wengi wa waliosaidiwa ni wanachama wa CHADEMA.

Kwa mwendo huu, sioni uwezekano wa mfuko huu kuendelea.
 
Credibility na Accountability ndio msingi wa maendeleo ya Taasisi yoyote hivyo ili mfuko uweze kuwa manufaa kwa watu wengi, watendaji wake lazima wawe na hizo sifa. Abarikiwe mbunge wa wana Arusha mwenye mtazamo chanya wa kuwainua wana wa nchi hii..go Lema ..go, watanzania tuko nyuma ya kila kiongozi mwenye nia thabiti ya kutuendeleza.
 
Mfuko huu umeanza kupata tuhuma nzito za kutowepo 'transparency'.

Yapo madai kuwa mfuko huu unasaidia zaidi watu wa kabila moja. (90% ya waliofaidika hadi sasa ni Wachagga)

Yapo pia madai kuwa mfuko huu unaendeshwa kisiasa kwa maana kwamba wengi wa waliosaidiwa ni wanachama wa CHADEMA.

Kwa mwendo huu, sioni uwezekano wa mfuko huu kuendelea.

CCM huyu?? Mm ni mkazi wa rausha co mchaga wala mwnachadema lakini nimefaidika!!!!!! Acha fitina za kipuuzi!
 
Nadhani tuwe optimistic. Tuache mambo ya ukabila. Mfuko umeshaanza kusaidia watu wengi tu na wala si wachaga. Wahanga na waathirika wa tukio la Arusha siyo wachaga tu na wamesaidiwa. Mimi siamini katika negativity!! Kama watu wenye tatizo na limeletwa mbele waache kusaidiwa kwa sababu tu ni mwanachadema au mchagga la hasha! Kinachotakiwa watu wapate katiba ya mfuko wenyewe waisome na wailewe badala ya kukurupuka tu na kuanza kulaumu tu kuwa eti kwa vile vijana ndiyo viongozi mfuko hauna credibility, mimi siamini hivyo kwani hata Lema si mzee na Nyerere alipkuwa anakuwa rais wa kwanza wa Tanganyika hakuwa mzee, akina Salim Ahmed Salim hakuwa mzee, akina Peter Kisumu hawakuwa wazee, akina Mzee Mtei hawakuwa wazee, akina JK walipoanza kuwa viongozi hawakuwa wazee, akina hao wote unaonwaona kuwa ni wazee credible sasa, hawakuwa wazee wakati wanapewa madaraka. Sasa unaposema nao wananjaa ni wapi utampata aliyeshiba halafu akulishe chakula kwa wakati hali yeye wala hahisi njaa?
Tujiamini kuwa tunaweza, na tutaweza! Tunahitaji credible institutions na siyo credible individuals. Creditble institutions zitakuwa na njia ya kujiangalia zenyewe katika njia ya wazi na kuchukua hatua haraka kuziba mianya inayojitokeza. Tunahitaji taasisi imara na siyo watu imara. Sasa hivi vyama kama CCM zina watu imara hivyo siku hao hawapo wataporomoka tu! Tunahitaji kujenga taasisi imaraka katika nchi yetu.
" We need strong Institutions and Strong People"
 
Kwa Mh Lema.
Nafahamu kuna mfuko unaoitwa Arusha Development Fund ulioanzishwa jijini Arusha kwa lengo la kuchochea kasi ya maendeleo mjini hapa. Ni wazo zuri sana. Sijajua ni maeneo gani zaidi mfuko huu umejikita kwenye kuleta maendeleo ila mambo ya msingi naamini yatakuwa yamezingatiwa kama vile Afya, Elimu na Ajira. Nataka kutoa mchango wangu katika muu
ndo wa mfuko huu ili uweze kuwa na credibility ya kutosha.

Kwa kawaida kazi kubwa ya mifuko kama hii ni kutafuta pesa toka kwa wadau na wahisani mbali mbali either kwa direct approach, get together, gala dinners na njia nyingine nyingi. Lakini hapa kuna issue moja tu kumuomba mdau akuchangie fedha ili ukazitumie kwa lengo la kuleta maendeleo ya watu wengi. Hivyo basi tool kubwa ni credibility ambayo nataka kumshauri Mh Lema aangalie muundo wa ADF kama watendaji wake wana credibility ya kutosha kwasababu hiyo tool ndiyo itakayo tunisha mfuko kwa maendeleo ya mji wetu.

Ushauri - Tunafahamu baadhi ya watu ndani ya nchi ambao ni wapenda maendeleo na wana credibility ya kutosha, basi ni vema mka approach watu kama hao na kuwaomba wakawa kwenye board of trustees and their core functions would be hosting events,raise funds and to ensure that ADF's policies are implemented and the goals are archieved.

Nimeshauri hivyo kwasababu nafahamu ADF ina vijana kama mimi wenye kupenda kuleta maendeleo ila bado na wao pia wanahangaika kutafuta maendeleo yao binafsi

Mungu ibariki ADF, Mungu bariki jiji letu la Arusha na Mungu endelea kumpa hekima Mbunge wetu.
....this is it,,,,,ni mpango mzuri aliouanziasha,,,wadau tujitokeze kumuunga mkono!
 
Mfuko huu umeanza kupata tuhuma nzito za kutowepo 'transparency'.

Yapo madai kuwa mfuko huu unasaidia zaidi watu wa kabila moja. (90% ya waliofaidika hadi sasa ni Wachagga)

Yapo pia madai kuwa mfuko huu unaendeshwa kisiasa kwa maana kwamba wengi wa waliosaidiwa ni wanachama wa CHADEMA.

Kwa mwendo huu, sioni uwezekano wa mfuko huu kuendelea.


mzee usiingilie mambo yasiyokuhusu wewe hata ukielimishwa milele bado umeshikilia upuuzi eti ni mfuko wa wachaga na CHADEMA. Nitamwomba Moderator akutake utoe ushaidi na kama hutatoa akushughulikie kwa mujibu wa kanuni za JF. Siyo kila wakati tunapenda MZAHA wako hapa. Hapa tunajadili mambo ya msingi kama huna cha kuchangia tafuta thread nyingine.
 
Mfuko huu umeanza kupata tuhuma nzito za kutowepo 'transparency'.

Yapo madai kuwa mfuko huu unasaidia zaidi watu wa kabila moja. (90% ya waliofaidika hadi sasa ni Wachagga)

Yapo pia madai kuwa mfuko huu unaendeshwa kisiasa kwa maana kwamba wengi wa waliosaidiwa ni wanachama wa CHADEMA.

Kwa mwendo huu, sioni uwezekano wa mfuko huu kuendelea.

a rotten egg inside a pit latrine ..!
 
Kwa Mh Lema.
Nafahamu kuna mfuko unaoitwa Arusha Development Fund ulioanzishwa jijini Arusha kwa lengo la kuchochea kasi ya maendeleo mjini hapa. Ni wazo zuri sana. Sijajua ni maeneo gani zaidi mfuko huu umejikita kwenye kuleta maendeleo ila mambo ya msingi naamini yatakuwa yamezingatiwa kama vile Afya, Elimu na Ajira. Nataka kutoa mchango wangu katika muundo wa mfuko huu ili uweze kuwa na credibility ya kutosha.

Kwa kawaida kazi kubwa ya mifuko kama hii ni kutafuta pesa toka kwa wadau na wahisani mbali mbali either kwa direct approach, get together, gala dinners na njia nyingine nyingi. Lakini hapa kuna issue moja tu kumuomba mdau akuchangie fedha ili ukazitumie kwa lengo la kuleta maendeleo ya watu wengi. Hivyo basi tool kubwa ni credibility ambayo nataka kumshauri Mh Lema aangalie muundo wa ADF kama watendaji wake wana credibility ya kutosha kwasababu hiyo tool ndiyo itakayo tunisha mfuko kwa maendeleo ya mji wetu.

Ushauri - Tunafahamu baadhi ya watu ndani ya nchi ambao ni wapenda maendeleo na wana credibility ya kutosha, basi ni vema mka approach watu kama hao na kuwaomba wakawa kwenye board of trustees and their core functions would be hosting events,raise funds and to ensure that ADF's policies are implemented and the goals are archieved.

Nimeshauri hivyo kwasababu nafahamu ADF ina vijana kama mimi wenye kupenda kuleta maendeleo ila bado na wao pia wanahangaika kutafuta maendeleo yao binafsi

Mungu ibariki ADF, Mungu bariki jiji letu la Arusha na Mungu endelea kumpa hekima Mbunge wetu.


Kwa bahati nzuri tulihudhuria uzinduzi wa huu mfuko na masuala ya CREDIBILITY na ACCOUNTABILITY yaliongelewa na watoa mada kutoka COMPASSION na Mashirika mengine yanayoheshimika. Na founder waliahidi kuwepo siyo tu Credibility na Accountability lakini pia Transparency.
Mfuko umeanza na wengi wameshatimiza pledges zao akiwepo mimi. Kama wapenda maendeleo tumekuwa tunafanya very close follow up ili kuhakikisha kuwa huu mfuko hautaingia mkondo uleule wa ubabaishaji na kitapeli bali unafanya kile kilichokusudiwa.
Tunaamini Mh. Mbunge Lema anajua tunafuatilia na ninajua ni mtu makini sana na najua amedhamiria kuufanya mfuko wa mfano.
Mwisho wa siku tunataka tupime results hata zile za awali in terms of resources used, planned activities and achievements.

Akitaka tumwekee M&E system nzuri tutamsaidia ushauri bure kama atatuomba ili kila mtu ajue ni achieve gani tunatarajia kuziona kwenye huu mfuko.
Y
 
mzee usiingilie mambo yasiyokuhusu wewe hata ukielimishwa milele bado umeshikilia upuuzi eti ni mfuko wa wachaga na CHADEMA. Nitamwomba Moderator akutake utoe ushaidi na kama hutatoa akushughulikie kwa mujibu wa kanuni za JF. Siyo kila wakati tunapenda MZAHA wako hapa. Hapa tunajadili mambo ya msingi kama huna cha kuchangia tafuta thread nyingine.

Tuheshimiane Mvumbuzi.

Mimi na wewe tunatofautiana saana kimawazo na kimtizamo.
Usinilazimishe nikubaliane na mawazo yako ya kipuuzi. Ninafuata kile ninachoamini kiko sahihi.

Vitisho vyako vya kumtaka MOD anifungie ni kukosa hoja na uvivu wa kufikiri.
Hata wewe waweza kuhamia kwenye thread nyingine. Usidhanie kuwa unaandika la maana sana hapa.

Kama kuna mapungufu kwenye huo mfuko hatutaacha kusema.

Usidhani kuwa tutawaacha mtumie mfuko kama kichaka cha kuendeleza ubinafsi, ukabila na uchafu mwingine wa kibaguzi.
 
Mfuko huu umeanza kupata tuhuma nzito za kutowepo 'transparency'.

Yapo madai kuwa mfuko huu unasaidia zaidi watu wa kabila moja. (90% ya waliofaidika hadi sasa ni Wachagga)

Yapo pia madai kuwa mfuko huu unaendeshwa kisiasa kwa maana kwamba wengi wa waliosaidiwa ni wanachama wa CHADEMA.

Kwa mwendo huu, sioni uwezekano wa mfuko huu kuendelea.
Toa ushahidi vinginevyo tutolee ushabiki wako hapa.
 
Back
Top Bottom