Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Usiombe ukakutana na mtu wa aina hii utayachukia mapenzi. . . . . Nakumbuka ilikua mwaka 1999 nilipokutana na bimti wa aina hii,ilinichukua miaka miwili kumuweka sawa. . . . . Yaani kila unachofanya kwake ni kibaya anaona wewe ni walewale,moyo wake ulishakufa ganzi zamani,hahisi wala hataki kupenda tena.Ukikutana na mtu wa dizain hii bora ule kona tu!